welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,720
- 3,687
Tatizo tukija mnaanza maswali ya kitoto badala ya kutuachia tunda tupime kina na mvuto wa nyonyo!
Heshima ni kitu ambacho unakuwa namipaka nauelewa huyu ni mtu wa muhimu kwangu so yale mazoea mabaya unatakiwa uache umenielewa uwe mwanaume unayejitambua madhani umenielewaUmesahau kuandika umri wako, Pili hivi heshima ni IPI hiyo huwa mnaiongelea na matunzo unamaanisha matunzo yepi?
Sio kila mtu unaweza muelewa jinsi anavyoishiKwanini huwezi kutulia tu ukajieleza vizuri ukaeleweka mbona unaandika Kama unakimbizwa vile?
Anyways,kila la heri zako.
Eti eh!Njoo kwangu niko single na free pia.
Kati yao wapo single ila nao wanakupima hivyo mnapimanaKweli wamejitokeza ila hawana uhuru.
Wengine wanaonekana ni wanaume za watu ufree haupo .
Nikweli ila ndio nimeshasema kama umeoa usije humu shida huwaga nini??
KumbeeKati yao wapo single ila nao wanakupima hivyo mnapimana
Ni ndoto ya kila mwanaume, namimi nikiwemo kumuita mkewe jina kama"SweetyCandy". Njoo kwangu mamaKweli wamejitokeza ila hawana uhuru.
Wengine wanaonekana ni wanaume za watu ufree haupo .
Nikweli ila ndio nimeshasema kama umeoa usije humu shida huwaga nini??
Aha!utapokea simu hata usiku maana shida ndio hilo usiku watu hawapokei wakipokea nitakupigia kesho usiku mwema ehNi ndoto ya kila mwanaume, namimi nikiwemo kumuita mkewe jina kama"SweetyCandy". Njoo kwangu mama
Ndio hivyo kwakuwa nao hawaamini kama uko singoKumbee