Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

seriously dr?im so disappointed teh...
seriously dr?im so disappointed teh...
mtoto mzuri..nimemuunga jamaa mkono..kwa sababu hayo masharti yake kwamba awe ameajiriwa serekalini au shirika linaloeleweka(uoni km mtu anajipa kitanzi)..what if kama ni mfanyabiashara mzuri tu..?! then asiwe mnene wala mwembamba..huoni kama ni sida hapo... Inatoa dalili kwamba ni mtu chagu chagua sana...labda kwa sababu ya usomi..nmesoma pia anavyojibu vinegative challange anavyopata haijakaa vizuri..nmejikuta kwamba im taking jf very seriously..sijui kwanini..!?
 
mtoto mzuri..nimemuunga jamaa mkono..kwa sababu hayo masharti yake kwamba awe ameajiriwa serekalini au shirika linaloeleweka(uoni km mtu anajipa kitanzi)..what if kama ni mfanyabiashara mzuri tu..?! then asiwe mnene wala mwembamba..huoni kama ni sida hapo... Inatoa dalili kwamba ni mtu chagu chagua sana...labda kwa sababu ya usomi..nmesoma pia anavyojibu vinegative challange anavyopata haijakaa vizuri..nmejikuta kwamba im taking jf very seriously..sijui kwanini..!?
Kwani dhumuni la vigezo ni nini dr?
  • Well kwa uelewa wangu ili mtu aseme vile anavyotaka kutoka kwa mtarajiwa mfano ikitokea mtu anavigezo vyote lakini hafanyi kazi kwenye shirika hapo anaweza kuconsider kwasababu as long as ana kipato kinachomuingiza pesa sio ishu sana.Ila kwa mtazamo wangu ametaka kubase kwenye safe side zaidi ili apate uhakika wa kipato kwasababu biashara wakati mwengine inalipa na wakati mwengine ndo kama vile.
  • Ana chaguo la kuchagua umbile la mtu mbona ni kawaida sana hakuna mtu anayetaka kimbaumbau ka fidodido au bonge nyanya….besides ukiwa na kitambi it stands infront of everything on your way:smile-big:…you should know better than that:smile-big::smile-big:na she wasn't that picky anyway hajataka mtu mwenye six pack or masculine body….naona mmejisahau kidogo na nyinyi mlivyo mahodari kuchagua maumbile sijui mnataka mtu kwenye kishtobe sijui mshedede….and by the way i take jf seriously too but not when it comes to relationships cause people are not serious as you observe...
 
Kwani dhumuni la vigezo ni nini dr?
  • Well kwa uelewa wangu ili mtu aseme vile anavyotaka kutoka kwa mtarajiwa mfano ikitokea mtu anavigezo vyote lakini hafanyi kazi kwenye shirika hapo anaweza kuconsider kwasababu as long as ana kipato kinachomuingiza pesa sio ishu sana.Ila kwa mtazamo wangu ametaka kubase kwenye safe side zaidi ili apate uhakika wa kipato kwasababu biashara wakati mwengine inalipa na wakati mwengine ndo kama vile.
  • Ana chaguo la kuchagua umbile la mtu mbona ni kawaida sana hakuna mtu anayetaka kimbaumbau ka fidodido au bonge nyanya….besides ukiwa na kitambi it stands infront of everything on your way:smile-big:…you should know better than that:smile-big::smile-big:na she wasn't that picky anyway hajataka mtu mwenye six pack or masculine body….naona mmejisahau kidogo na nyinyi mlivyo mahodari kuchagua maumbile sijui mnataka mtu kwenye kishtobe sijui mshedede….and by the way i take jf seriously too but not when it comes to relationships cause people are not serious as you observe...
Namuona kama she was and still to picky for sure..may be she is not that serious but us spectators are the one who are very serious for her
 
kaa tu utashusha vigezo mwenyewe mpaka sifuri itakapo kukuta 2019 bado unajieleza
 
Duh, dada ulikua wp? Kwa ushauri subiri utafutwe ww na utongozwe maana ww ni kama umeshindikana unaanza kuforce, wife material wanatafutwa sana na ni hadimu, bila shaka ww utakua sio ndo maana unajitangaza.

Mkuu umenena
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

ni PM, Tuanze mchakato
 
kwani yeye huyu sister shida yake nini kama nipesa sianasema yeye ni msomi hivyo anazo na kama shida yake ni ngono namshauri akanunue masanamu yapo mengi kwenye maduka ya nguo kila shape anayoitaka ipo lakini binadam hawezi kumpata
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

umisha mwaga oil mara ngp?
 
watu kama hawa haya masihara yao ndio yanafanya watu kuamini huwezi kumpata mke hapa jf kama kweli mnataka wanaume kuweni basi serious sio hayo maroroso uliyotuletea
 
Sielewi kwanini watu wapo so rude na huyu mdada,yeye katoa vigezo vya mtu anavyotaka kama huna pita kimyakimya,kwa umri alokuwa nao amepevuka na anajua anachotaka sio mtoto wa form 2 hata mavuzi hayajaota vizuri….Na swali jingine la chapchap unafikiri na elimu alokuwa nayo angelikuwa na umri gani?Mnaharibu sifa la jukwaa hili…and i doubt if you are really wise!!


Tatizo wengi wanazani uchawi ni mpaka mtu ashike shike tunguri sijui !

Wakati uchawi upo ata wa Maneno !

Thats why wa TZ wengi ni Wachawi !
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

bado hujapata tu...
 
Mimi nina sifa zote uzitakazo isipokuwa nahitaji kujua kutoka kwako kama
1.UNA AKILI TIMAMU?
2.UNATAKA NDOA au HARUSI?
 
Siku hizi wanawake hawana masharti kwa kuwa waoaji wamepungua sana.
punguza masharti angalau ubaki na sharti 1 tu
 
Sielewi kwanini watu wapo so rude na huyu mdada,yeye katoa vigezo vya mtu anavyotaka kama huna pita kimyakimya,kwa umri alokuwa nao amepevuka na anajua anachotaka sio mtoto wa form 2 hata mavuzi hayajaota vizuri….Na swali jingine la chapchap unafikiri na elimu alokuwa nayo angelikuwa na umri gani?Mnaharibu sifa la jukwaa hili…and i doubt if you are really wise!!

..i see..!gorgeous, lols
lakini 28-33yrs ni umri mzuri Sana, sijui kwa nini wadau wanaponda aisee
 
..mie naogopa tu mdada akishakuwa na masharti ya hivyo, hata wazazi watakywa na masharti makubwa katika swala zima la mahari.. Hapa ndo tunaona mtu anapigwa mahari ya 6M, "FOR THE VALUE OF THEIR DAUGHTER"
 
ImageUploadedByJamiiForums1403156367.873871.jpg olewa na huyu yupo rwanda ni askali wa m23aliejisalimisha anataka aanze maisha mapya bangi ,pombe ,hapo ndio penyeee
 
Siku hizi wanawake hawana masharti kwa kuwa waoaji wamepungua sana.
punguza masharti angalau ubaki na sharti 1 tu

haha haaaaaaaaa... uwiiiii
Ngoja nimsaidie

1. Muoaji awe na Dushelele, na awe na uwezo wa kulitumia ipasavyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom