seriously dr?im so disappointed teh...
mtoto mzuri..nimemuunga jamaa mkono..kwa sababu hayo masharti yake kwamba awe ameajiriwa serekalini au shirika linaloeleweka(uoni km mtu anajipa kitanzi)..what if kama ni mfanyabiashara mzuri tu..?! then asiwe mnene wala mwembamba..huoni kama ni sida hapo... Inatoa dalili kwamba ni mtu chagu chagua sana...labda kwa sababu ya usomi..nmesoma pia anavyojibu vinegative challange anavyopata haijakaa vizuri..nmejikuta kwamba im taking jf very seriously..sijui kwanini..!?seriously dr?im so disappointed teh...