Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

Endelea kuota. Sana sana nenda kasome PhD
 
..mie naogopa tu mdada akishakuwa na masharti ya hivyo, hata wazazi watakywa na masharti makubwa katika swala zima la mahari.. Hapa ndo tunaona mtu anapigwa mahari ya 6M, "FOR THE VALUE OF THEIR DAUGHTER"
ha ha ha acha ubahili bana...
 
kwa umri wako dada angu na masharti uliyoweka cdhani kama itakuwa rahisi ivo kumpata

Oya mwambie nimekidhi vigezo kasolo gambe kama kawa ....mwambie ani pm....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Usitudanganye kama umesoma mpaka una master degree halafu unatafuta wachumba kwenye mtandao hujapata mchumba mpaka leo wa kukuoa basi una kasoro.
 
Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
Unasema ''Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto'' Vipi ushakutana na wanaume wangapi tofauti tofauti mpaka kufikia umri huo wa 30's.?Mimi nipo serious na Vigezo vyote ninavyo.Ni pm kwa muendelezo zaidi ya hapa.
 
Bandiko halija jitosheleza kabisaaaa..Embu jibu maswali yafuatayo:-
1.Umewahi kufanya tendo la ndoa/kungonoka?
2.Umejuaje wewe ni wife material?
3.Umewahi kutongozwa?kama ndio mara ngapi?
4.Ilikuwaje kwa walio kutongoza?..je hawakuwa na sifa au?
5.Unazani kuwa wewe ni mzuri na mwenye mvuto?
6.Size ya kiuno chako hips na paja ni ngapi?..

Ni hayo tuu...ukiweza kuweka picha itakuwa vizuri zaidi.Ukijibu hayo maswali yote utatufanyia uwepesi na kusave muda wetu kutuma PM kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom