SIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
SIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
Mi sifa zote ninazo ila sija ajiriwa .....nimeajiri watu....naona nimekukosa kidogo...
kamata atakujibu kwa hiliSIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
Aiseee kikuria zaidi..Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
Nimekubali kweli wewe ni wiseboy..unaona chagua chagua inavyoleta shida..he miaka 30 bado una listi ndeeeeeefu ya vigazo unavotaka utadhan upo form two, sa form two atasemaje coz at that age wapo young....a bit used/ not used, n.k hayo maselection yako yamekufikisha kwenye danger zone age we bdo umeyakomalia.......anza kitu kinaitwa BnB yani BWANA NI BWANA
Wewe ni malaya?
Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
Sielewi kwanini watu wapo so rude na huyu mdada,yeye katoa vigezo vya mtu anavyotaka kama huna pita kimyakimya,kwa umri alokuwa nao amepevuka na anajua anachotaka sio mtoto wa form 2 hata mavuzi hayajaota vizuri….Na swali jingine la chapchap unafikiri na elimu alokuwa nayo angelikuwa na umri gani?Mnaharibu sifa la jukwaa hili…and i doubt if you are really wise!!he miaka 30 bado una listi ndeeeeeefu ya vigazo unavotaka utadhan upo form two, sa form two atasemaje coz at that age wapo young....a bit used/ not used, n.k hayo maselection yako yamekufikisha kwenye danger zone age we bdo umeyakomalia.......anza kitu kinaitwa BnB yani BWANA NI BWANA
seriously dr?im so disappointed teh...Nimekubali kweli wewe ni wiseboy..unaona chagua chagua inavyoleta shida..
Kasema wapi hayo?dada unataka mwenye master kama yako?duu!ukimpata mie najitoa jf,maana wenye master tayal wana watoto
Mbona wewe hujaweka umri wako?SIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
Mamito kama wewe una Masters Degree basi haijakusaidia kitu bado tegemezi kama mama wa nyumbani, yanini kukomalia uchumi wa mtu mwingine, eti asiwe bahili.....
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani