Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

miaka 34 - 40 hajawahi kuoa wala hana mtoto, atakuwa either infertile or impotent, all the best.
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

Kama ana apply kazi vile duuu utakuwa unatoa mshahara wa shilling ngapi maana kama huko nitakuwa nafanya part time.Huwezi kumtafuta mume kama unatangaza tender ya kumilikiwa.
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

Mi sifa zote ninazo ila sija ajiriwa .....nimeajiri watu....naona nimekukosa kidogo...
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani
kamata atakujibu kwa hili
 
Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
Aiseee kikuria zaidi..
 
he miaka 30 bado una listi ndeeeeeefu ya vigazo unavotaka utadhan upo form two, sa form two atasemaje coz at that age wapo young....a bit used/ not used, n.k hayo maselection yako yamekufikisha kwenye danger zone age we bdo umeyakomalia.......anza kitu kinaitwa BnB yani BWANA NI BWANA
Nimekubali kweli wewe ni wiseboy..unaona chagua chagua inavyoleta shida..
 
Wewe ni malaya?

Dah kwanini umeniuliza hivyo mkuu? Kwanza kwa namna ninavyokumbuka Malaya ni mwanamke mwenye wanaume wengi na haiapply kwa wanaume. So labda unitafutie jina jingine
 
Weka umri wako hapo alafu. masters in what isije ikawa theology? Changamka niku PM
 
Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.

unazungumzia "value" ipi hiyo unayoijua wewe pekee, isiyoonekana kwa wanaume mpaka mileage zinasoma kiihivo, bado tu huna wa kukuoa?
 
dada unataka mwenye master kama yako?duu!ukimpata mie najitoa jf,maana wenye master tayal wana watoto
 
he miaka 30 bado una listi ndeeeeeefu ya vigazo unavotaka utadhan upo form two, sa form two atasemaje coz at that age wapo young....a bit used/ not used, n.k hayo maselection yako yamekufikisha kwenye danger zone age we bdo umeyakomalia.......anza kitu kinaitwa BnB yani BWANA NI BWANA
Sielewi kwanini watu wapo so rude na huyu mdada,yeye katoa vigezo vya mtu anavyotaka kama huna pita kimyakimya,kwa umri alokuwa nao amepevuka na anajua anachotaka sio mtoto wa form 2 hata mavuzi hayajaota vizuri….Na swali jingine la chapchap unafikiri na elimu alokuwa nayo angelikuwa na umri gani?Mnaharibu sifa la jukwaa hili…and i doubt if you are really wise!!
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani
Mbona wewe hujaweka umri wako?
 
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani
Mamito kama wewe una Masters Degree basi haijakusaidia kitu bado tegemezi kama mama wa nyumbani, yanini kukomalia uchumi wa mtu mwingine, eti asiwe bahili.....
 
kwa umri wako dada angu na masharti uliyoweka cdhani kama itakuwa rahisi ivo kumpata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom