farkhina nazingiziwa tu,mi mpole sina fujo kabisa
Na mie nakuona na shingo yako ulivoweka upande hadi watia huruma lol
Last edited by a moderator:
farkhina nazingiziwa tu,mi mpole sina fujo kabisa
una cheti?umesomea wapi?
Mkuu Excellent shule nimeenda na nina cheti cha hii kazi
binamu ladyfurahia nipe hiyo kazi bana nina vigezo vyote hapa
TCU wamehakikisha hiyo cheti?Mkuu Excellent shule nimeenda na nina cheti cha hii kazi
binamu ladyfurahia nipe hiyo kazi bana nina vigezo vyote hapa
hehehhe sikujua....ngoja basi nimwachie ndugu wafanyiane massagekaah, binamu uko serious?? Yaani umfanyie massage dada ako kweli!!!!
hahahaaa.... farkhina nataka cousin wangu afanyiwe massage na mtu makini ndio maana nimekimbia fasta huku, hebu ngoja nikampe dawa mgonjwa mie
TCU wamehakikisha hiyo cheti?
Lady doctor bimanu nyama ya hamu huujui huu msemo bana kwani kuna shida gani si ni massage tuu mi sio Excellent anayeenda extra mileskaah, binamu uko serious?? Yaani umfanyie massage dada ako kweli!!!!
lol! hebu niache let me bless myself nimfanyie massageKimehakikiwa na kupitishwa mkuu Excellent
Lady doctor bimanu nyama ya hamu huujui huu msemo bana kwani kuna shida gani si ni massage tuu mi sio Excellent anayeenda extra miles
Kimehakikiwa na kupitishwa mkuu Excellent
Lady doctor bimanu nyama ya hamu huujui huu msemo bana kwani kuna shida gani si ni massage tuu mi sio Excellent anayeenda extra miles
lol! hebu niache let me bless myself nimfanyie massage
heee kumbe, nilijisahaulisha mwenzio ngoja ladyfurahia aje
Hahahahaah umeona hadi wajisahau kumpa dawa mgonjwa.....mengine madogo dogo yakupite Lady doctor
Umesahau bana mpaka umepitiliza Lady doctor
yaani acha tu daaah sijui ndio uzee waingia kidizaini hii
mwenye thread hatoi feedback umemfuata pm nini?Hakuna bana sema tuu umeamua kujisahaulisha naamini bado wewe ni mrembo na mbichi kabisa Lady doctor