Excellent tena mbona kashajitoa kwenye kinyanganyiro hiki cha kuwania nafasi yako na nilibaki mimi mwenyewe Excellent hebu njoo pande hizi aise na utoe kibali nipate hii kazi ama sivyo nakuenmdea bagamoyo nakushusha kishipakwa 50% umepata ila kikwazo ni kwa Excellent kwani ndiye alikuwa wa kwanza kuomba
si unakumbuka ule ushuhuda wa pale kisimani (birikaini) yule mgonjwa aliyekaa kwa muda wa miaka 38 bila kupata uponyaji wake, kwani hakuwa na mtu wa kumtumbukiza birikani pindi malaika anaposhuka kuyatibua maji basi yule mgonjwa anayekuwa wa kwanza kuingia birikani anapona, hivyo nami sitaki kuharibu hapo labda umwombe kama atakuruhusu yeye Excellent
Last edited by a moderator: