Phile E Gobre
Member
- Oct 31, 2013
- 10
- 3
Namtafuta mtu mcha mungu ambaye hatojali mengineyo zaidi ya mungu
yaani kidogo nikutaje wewe naona umeniwahi
cousin ladyfurahia, Excellent anasifa zote unazozitaka aisee hakyanani vile
Binamu ladyfurahia nipe hiyo kazi nina sifa zote na naifanya bure Excellent ana record ya kubaka watu aliowafanyia massage so hafai
hehehhe sikujua....ngoja basi nimwachie ndugu wafanyiane massage
Mhmmm!!! Mie napita tu wajameni.
Amepatikana au?
mmm ni ma handisamu boii tu ma ghost face duh!!Hamjambo marafiki
Jamani sijajisikia kuwafurahisha wala kuwachekesha hapa bali
niko serious kabisa tena sana natafuta mtu wa jinsia yoyote
sichagui wala sibagui ila awe mwembamba kiasi chake
na PROFFESIONAL kwa kunifanyia Massage bomba ambayo
itanifanya nipunguze uchovu wa kazi nyingi nilizofanya OCtober
WASIFA WAKE
:lying: Awe mstahimilivu, mvumilivu
:eyeroll1: Msafi sana asiyenuka ovyo vikwapa kwapa
:crying: Awe alikwenda na wakati yaani si mzubaufu
:smile-big: Awe mwenye kijituma zaidi kikazi zaidi atapewa kipaumbele
:eyeroll1: Awe mwenye kuijua kazi yake kwa ufanisi uliobobea na anayejali
:eyeroll1: Asiwe mpenda :busu maana atakong'olewa na my husband
:eyeroll1: Asiwe mpenda :frusty::frusty: atatolewa kwenye usaili mara ya kwanza
maana hatakiwi mtu wa dizaini hiyo hapa
mengineyo:
KIMTAZAMO ZAIDI
* Awe msafi na mwenye haiba za kuonekana nje na siio ndani
kwa yeyote mwenye sifa hizi ani:director: ataitwa kwenye INTERVIEW
Sitapokea sms wala :cell: zozote zitakazopigwa nataka mtu anibeep
nami nitamtwangia hewani bila shaka marafiki mnielewa vizuri hapa
ONYO: Naomba MARAFIKI msichakachue uzi huu wala kuingiza mambo
yasiyoeleweka hapa ni serious mabestitoooo
Karibuni kwa usaili tarehe 03/11/2013 pale LTHP.
ANGALIENI PICHA ZA WATU WANAOHITAJIKA HAPA
View attachment 119150 View attachment 119151
hee! makubwa
sasa binamu utaweza kushika sehemu za ndugu yako jamani bila kuona aibu
si yatageuka majanga bure
Binamu ladyfurahia kwani umesahau kuwa binamu nyama ya hamu au unajifanya umefunga macho huoni kabisa
asije akafanyiwa massage,halafu akawa hoi akajisahau halafu kajiachia tu wakati nishadiaspia
kwa hiyo unanihitaji nduguyo siyo unifanyie masasage niki........!oopsi! utafanyaje?
ANGALIZO: soma hapa: Asiwe mpenda :busu maana atakong'olewa na my husband
asije akafanyiwa massage,halafu akawa hoi akajisahau halafu kajiachia tu wakati nishadiaspia
Binamu ladyfurahia hayo yote yamezingatiwa kwa maana ya vigezo na masharti kuzingatiwa
Vin Diesel ni mpinzani wangu na anaitafuta kazi vibaya sana na unajua yule amekolifai sana kufanya kazi hizi kwa hiyo ataninyang'anya kazi aisengoja aje Vin Diesel aje kuweka saiini yake hapa kama uko tayari kufanya kazi hiyo
Vin Diesel ni mpinzani wangu na anaitafuta kazi vibaya sana na unajua yule amekolifai sana kufanya kazi hizi kwa hiyo ataninyang'anya kazi aise
usiogope hawezi fanya hivyo kwani najua kuwa damu ni nzito kuliko maji
So niambie kwa asilimia hamsini nimepata kazi hii na asilimia hamsini namsubiria Vin Diesel sio