Natafuta Mtaalam wa zao la Kokoa ( Kakao) mkoa wa Morogoro au Tanga

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya aina hii ya kilimo kabla ya kuingia kwenye ukulima wa hili zao.

Najua Kyela ni wazoefu zaidi lakini nimependelea mikoa hiyo niliyotaja kwa urahisi zaidi hasa ukizingatia mimi naishi Dar es Salaam.

Ni rahisi zaidi kufika Morogoro ama Tanga.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya aina hii ya kilimo kabla ya kuingia kwenye ukulima wa hili zao.
Najua Kyela ni wazoefu zaidi lakini nimependelea mikoa hiyo niliyotaja kwa urahisi zaidi hasa ukizingatia mimi naishi Dar es Salaam.
Ni rahisi zaidi kufika Morogoro ama Tanga.
Wenyewe kyela wanaita IMOKOKO... ina hela sana
 
Humu hakuna MTU kweli anayejihusisha na kilimo cha Kakao?

Hata trader basi kama yupo naomba tuongee.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya aina hii ya kilimo kabla ya kuingia kwenye ukulima wa hili zao.

Najua Kyela ni wazoefu zaidi lakini nimependelea mikoa hiyo niliyotaja kwa urahisi zaidi hasa ukizingatia mimi naishi Dar es Salaam.

Ni rahisi zaidi kufika Morogoro ama Tanga.
Karibu kwa elimu, ushauri na miche bora na niko Moro mjini
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya aina hii ya kilimo kabla ya kuingia kwenye ukulima wa hili zao.

Najua Kyela ni wazoefu zaidi lakini nimependelea mikoa hiyo niliyotaja kwa urahisi zaidi hasa ukizingatia mimi naishi Dar es Salaam.

Ni rahisi zaidi kufika Morogoro ama Tanga.
Nasikia mbingu morogoro inafanya vizuri sanaaa, mimi mwenyewe nijaliwa mwaka unaonza natambelea hukoo ili kujionea kwa machoo, kimsingi nawiwa kuwekeza hukoo.

Kilimo cha mboga mboga hada dar kimenichosha.nataka zao la kudumuuu.

Kama yupo mdau wa maeneo tajwa tutafurahi akitupa muongozo, nilishawahi tembelea kyela kijiji cha injisii (sijui kama nimeipatia) nilijionea kwa machooo yangu ya nyamaa.nilishawishika sanaaaa
 
Back
Top Bottom