natafuta mpenzi wa siri/ secret lover

natafuta mpenzi wa siri/ secret lover

sijasema hivyo ila wewe
 
du yupo mwenye ngoma hapa tabata kama unataka yupo ni ela yako tu..anameremeta kama kio na figa anayo ya ukweli.
 
poa tu we umepima hauna hiyo ngoma?
 
Mdada awe mrefu, mweusi umbo la wastani, ajiheshimu na awe msiri pia. Mimi ni kijana umri 29 mrefu wa wastan other things we can talk in private if you are interested, i dont care if you are single or not:A S-rose:

Ipo haja ya kuanzisha jukwaa jingine la wajinga wajinga ili wawe huru kuonyesha fikra duni na mawazo butu waliyonayo.

Ni aibu sana, tena inafedhehesha jukwaa la THE GREAT THINKERS mtu kupost upuuzi wa namna hii.
 
hahahaaaaa huo utani sasa 3*3=9
 
Nchabi u r the grt thinker kweli wote hatukuzaliwa na akili nyingi kama wewe mkuu.
 
Hapa JF wanaweza wakaona soo kujitokeza. Ila ukinyanyua makalio ya kiume ukaenda pale corner bar, utapata secret lovers kibao tena wa daily basis.

Usisahau namiliki kampuni ya utengenezaji wa majeneza. Ziraili kashanìpa size yako. All the best mzinzi.

Ziraili 😀😀
 
Ipo haja ya kuanzisha jukwaa jingine la wajinga wajinga ili wawe huru kuonyesha fikra duni na mawazo butu waliyonayo.

Ni aibu sana, tena inafedhehesha jukwaa la THE GREAT THINKERS mtu kupost upuuzi wa namna hii.

Seconded.....
 
topic yangu imeonekana ya kibwe** kwa wale uwezo mdogo wa kufikiri kama kuku alafu wanajiita great thinkers ,labda wa kuwaza njaa. kaa chini soma vizuri hiyo title herufi kwa herufi ukishaelewa kama hakikuhusu ondoka kimya kimya!! hakuna politics hapa ya chama cha 2mbili
 
ninawasisi--ninawasiwasi
 
mbona una wasiwasi nitakununulia mpaka mbalamwezi na nyota ziwe zako upo hapo mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom