natafuta mpenzi wa siri/ secret lover

natafuta mpenzi wa siri/ secret lover

jamani eeeh, nauza meno ya TEMBA!
 
topic yangu imeonekana ya kibwe** kwa wale uwezo mdogo wa kufikiri kama kuku alafu wanajiita great thinkers ,labda wa kuwaza njaa. kaa chini soma vizuri hiyo title herufi kwa herufi ukishaelewa kama hakikuhusu ondoka kimya kimya!! hakuna politics hapa ya chama cha 2mbili

Miaka 29 kutongoza kitaa unashindwa unakuja kulia mtandaoni huku unategemea nini?? Ulichoshindwa kukijua JF hapa mademu wajanja kinoma, hili tangazo ungelitoa Serengeti mida hii ungekuwa unakagua gwaride la kuchagua swala yupi anafaa kuwa secret lover wako. Hawa wanaotumia IPad wamejanjaruka mzee.
 
Hapa JF wanaweza wakaona soo kujitokeza. Ila ukinyanyua makalio ya kiume ukaenda pale corner bar, utapata secret lovers kibao tena wa daily basis.

Usisahau namiliki kampuni ya utengenezaji wa majeneza. Ziraili kashanìpa size yako. All the best mzinzi.

Nimeipenda hii...bonge la ushauri
 
Kama unataka mpenzi wa siri nadhani pia ungemtafuta kisiri siri
 
Miaka 29 kutongoza kitaa unashindwa unakuja kulia mtandaoni huku unategemea nini?? Ulichoshindwa kukijua JF hapa mademu wajanja kinoma, hili tangazo ungelitoa Serengeti mida hii ungekuwa unakagua gwaride la kuchagua swala yupi anafaa kuwa secret lover wako. Hawa wanaotumia IPad wamejanjaruka mzee.
acha maneno mengi wewe im doing it my way:msela:
 
haha utakuta mchana kaangalia ponoo wee katoka jioni kakutana na vidada maziwa vimeshamiri leggings zimekamata
kaingia instagram watoto data michirizi hawana chezea camera 360..
afuuu mbaya zaid jamaa demo zege maskini hajiamini
akakamata keyboard Jf ndo kakimbilia
braza mwez huu utakula nyeto tuu..lol
 
haha utakuta mchana kaangalia ponoo wee katoka jioni kakutana na vidada maziwa vimeshamiri leggings zimekamata
kaingia instagram watoto data michirizi hawana chezea camera 360..
afuuu mbaya zaid jamaa demo zege maskini hajiamini
akakamata keyboard Jf ndo kakimbilia
braza mwez huu utakula nyeto tuu..lol

Vokojolo unawanga mchana peupee wacha ulozi😛eep:
 
Mapenzi ya siri?labda ukayafanyie peponi
 
vip unfanya kazi/biashara gani? na unaishi wapi? na benki kuna salio la kutosha?
 
Mapenz hayana siri hata ya bekitatu na fatherhouse!mweeh ustake kutukoroga au una kasoro ww fulan fulan siyo bureee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom