Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 598
- 749
Huwezi kupata mke mtandaoniMimi ni mwanaume mwenye miaka 50, Nina watoto 1, kazi ni mfanyabiashara, dini ni Mkristo.
Natafuta mke mwenye miaka 25 mpaka 40. Awe Mkristo. Kama upo serious njoo in box tuyajenge
Miaka 50 ana mtoto mmoja elewa hivyo mkuu๐๐ingia hapo upate mapensheni ya NSSFUna watoto 10?
Vigezo viko simple Sana Ila hao under 30 achana nao.. Watafupisha pumzi yakoMimi ni mwanaume mwenye miaka 50, Nina watoto 1, kazi ni mfanyabiashara, dini ni Mkristo.
Natafuta mke mwenye miaka 25 mpaka 40. Awe Mkristo. Kama upo serious njoo in box tuyajenge
50 kwa 25 ataita maji mma๐Vigezo viko simple Sana Ila hao under 30 achana nao.. Watafupisha pumzi yako
Sitaki mie.nishastaafu mapenzi.kwanza wazee wa onyoo.wabovuuu,wachoyoooMiaka 50 ana mtoto mmoja elewa hivyo mkuu๐๐ingia hapo upate mapensheni ya NSSF
Mwanaume ukiwa na miaka 50 shikilia Sana ndoa yakoVigezo viko simple Sana Ila hao under 30 achana nao.. Watafupisha pumzi yako
Ulitafuta mpaka ukachoka?Sitaki mie.nishastaafu mapenzi.kwanza wazee wa onyoo.wabovuuu,wachoyooo
Bora vijana Wana feelings. Hawa mwendo hakuna akae Tu mwendo wa kununua huduma kwa gen z.ila wanawake matured aaah mwanaune wa 50. Sio mambo yetu.
NdioUlitafuta mpaka ukachoka?
acha kunifukuzia njiwa wangu brooo๐ huyu ni wanguVigezo viko simple Sana Ila hao under 30 achana nao.. Watafupisha pumzi yako
๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐.. https://www.facebook.com/acha kunifukuzia njiwa wangu brooo๐ huyu ni wangu
Under 20's wapenda kitonga wampeleke kigwaride huyo kikongweMwanaume ukiwa na miaka 50 shikilia Sana ndoa yako
Ukiachana umri huo ni kujitafutia Tu shida
Sasa mke wake mwenzetu huyu kamuachia Nani jamani?
Imekuwa multiple choice kwamba unasort tuacha kunifukuzia njiwa wangu brooo๐ huyu ni wangu
kwani kuna shido?Imekuwa multiple choice kwamba unasort tu
Acha wanyooshe .muda wa kulea ndoa yeye ndo anatokaUnder 20's wapenda kitonga wampeleke kigwaride huyo kikongwe