Natafuta mke wa mtandaoni

Natafuta mke wa mtandaoni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Natafuta mke wa mtandaoni hasa JF.

Mke wa mtandaoni ni mke ambaye tutakuwa tunaandikiana mambo mazuri mtandaoni na kuoneshana mahaba mtandaoni ila hakuna kukutana na mtu wala kubadilishana namba za simu.

Kila kitu kinabaki mtandaoni hakuna hata kutumiana picha. Suala la umri nk sio vigezo haya mambo ni mtandaoni tu.

Nataka kutengeneza picha ya mapenzi bora.... kama uko tayari zama inbox, hakuna haja ya kuomba sijui nini... hii mbanga ni mtandaoni tu.

Nawasilisha.
 
😂😂

Mimi nafikri vijana tunahitaji sana msaada mzito wa kisaiskolojia , WE ARE TRULY DOOMED
73b1a05b6268804864ca9c0a7f6f3f67.jpg
 
Umekuwa mvivu sana Pamoja na Ukongwe wako...

Maana mm nina amini % ya mapenz ya waz waz hapa jf ni ya uwongo. Na kuna yale yanaendelea PM huko ndio ya walio serious na kutafuta mwenza.

hayo unayotaka ww nadhan ni rahis sana. Kuwa tu serious na active. Kuna pisi nying sana jf zinaweza mudu hivyo vigezo vyako.
 
Unaishi kisiwani peke yako? Umekosa mtaani kwako, kazini kwako, kwenye nyumba ya ibada ya imani yako?

Anyway kila la heri,ila usijistress sana mkuu 🙏

Nadhan hujamuelewa mtoa mada.

Yamkini ana mpenz/mke . Ila kuna namna haenjoy mahaba .

Yeye anataman mwanamke wa kutumiana sms/uzi hapa JF tu( msisitizo uweke hapo). Maana hata PM haitahusika kama wakishakubaliana.

No number. No pic. No kuombana chochote. Zaid zaid huyo mpenz wake wawe wanatagiana huku. Kusifiana. Kuambiana maneno mazur nk nk.

Ila atleast jamaa kawa muwazi.
Maana kuna vidume huku wana akaunt ya kike na kiume.
Na zinafanya kusifiana + mahaba.
😂😂😂😂
 
Pesa si utatuma mtandaoni??
Mbona hiyo rahisi kiongozi njoo, tena tuanze na mchezo wa kulipiziana..!!
Unanitumia laki na mimi nakulipa nakutumia laki mbili 😊

😂😂😂😂😂😂.
Alaf Iweke vizur shem.
Namna hii.

Vifurushi vya mapenz JF.
1.Siku -2,000
2.Wiki - 15,000
3.Mwezi - 50,000
(Unamuanzishiwa uzi 3 zinazomuonyesha mahaba kila siku, tag 10, kujibu uzi zake mara mara na kulike kwa 😍 kwenye kila post anayotuma au kureply)

Je ? Hii package unaionaje😁😁😁😁.
Iko realistic na reliable?

Na Wale wanaolike reply zetu kila siku inabidi tuwalipe bundle ya unlimited mwez mzima 70k.
Wana mahaba sana. Watu wa maana kabisa.
 
😂😂😂😂😂😂.
Alaf Iweke vizur shem.
Namna hii.

Vifurushi vya mapenz JF.
1.Siku -2,000
2.Wiki - 15,000
3.Mwezi - 50,000
(Unamuanzishiwa uzi 3 zinazokuonyesha mahaba kila siku, tag 10, kujibu uzi zake mara 10 na kulike kwa😍 kwenye kila post anayotuma au kureply)

Je ? Hii package unaionaje😁😁😁😁.
Iko realistic na reliable?
Shem hapo kwenye afu 2 ongeza kiwango iwe hata afu 5, si unajua kuna vpn inalamba mb nyingi..!! 😹😹

Kuanzisha uzi wa kumsifia 20,000

Uzi wa kumtakia asubuhi njema 10,000

Uzi wa kumkumbusha kula 15,000 ( hii ipo ki-afya zaidi)

Uzi wa kumnyegesha usiku baada ya uchovu wa kazi 30,000

Hapo unaonaje shemeji? 😹😹😹

Halafu hii shemeji kwa nani? 😜
 
Kuanzisha uzi wa kumsifia 20,000

Uzi wa kumtakia asubuhi njema 10,000

Uzi wa kumkumbusha kula 15,000 ( hii ipo ki-afya zaidi)

Uzi wa kumnyegesha usiku baada ya uchovu wa kazi 30,000

Bila shaka ww mchaga Shem😂😂😂.
Unawaza pesa.

Bundle ya siku iongezeke. Naona ni ndogo maana hiyo ni GB 1 tu kama gharama ya kuingia mtandaon wakat ww daily utakuwa unatumia ubunifu na muda wako kumpet pet.
Iwe 5,000.

Alaf Hapo kwenye bundle la kumnyegesha atakuwa anakinunua sana na utapiga hela. 😂😂😂😂

Akitaka Mapenz mazur bas lazima agharamie. Asilikwepe hilo😂😂😂
 
Back
Top Bottom