Natafuta mke wa mtandaoni

Natafuta mke wa mtandaoni

Mke wa mtandaoni
20250801_105534.jpg
 
Lengo la kutaka aliyeng'oka meno ni kutaka kuinjoi BlowKazi ama nini?

Wapo mabinti wa 90 mwishoni kuja 2000, hiyo kazi wanaijua hadi kupitiliza

Ndiyo maana huwa nasisitiza gari bovu huvutwa na nzima 😜
aisee haya mazaga ni mtandaoni hizo kitu nitaenjoi wapi na sitakuwa na wakati wa kukutana na kiumbe
 
Natafuta mke wa mtandaoni hasa JF.

Mke wa mtandaoni ni mke ambaye tutakuwa tunaandikiana mambo mazuri mtandaoni na kuoneshana mahaba mtandaoni ila hakuna kukutana na mtu wala kubadilishana namba za simu.

Kila kitu kinabaki mtandaoni hakuna hata kutumiana picha. Suala la umri nk sio vigezo haya mambo ni mtandaoni tu.

Nataka kutengeneza picha ya mapenzi bora.... kama uko tayari zama inbox, hakuna haja ya kuomba sijui nini... hii mbanga ni mtandaoni tu.

Nawasilisha.
Wewe ni me au ke?
 
Nadhan hujamuelewa mtoa mada.

Yamkini ana mpenz/mke . Ila kuna namna haenjoy mahaba .

Yeye anataman mwanamke wa kutumiana sms/uzi hapa JF tu( msisitizo uweke hapo). Maana hata PM haitahusika kama wakishakubaliana.

No number. No pic. No kuombana chochote. Zaid zaid huyo mpenz wake wawe wanatagiana huku. Kusifiana. Kuambiana maneno mazur nk nk.

Ila atleast jamaa kawa muwazi.
Maana kuna vidume huku wana akaunt ya kike na kiume.
Na zinafanya kusifiana + mahaba.
😂😂😂😂
nawe hata nje ya boksi si ungejaribu!!!! umeelewa hivi na uhakika kabisa ukamwagika
😀
 
Natafuta mke wa mtandaoni hasa JF.

Mke wa mtandaoni ni mke ambaye tutakuwa tunaandikiana mambo mazuri mtandaoni na kuoneshana mahaba mtandaoni ila hakuna kukutana na mtu wala kubadilishana namba za simu.

Kila kitu kinabaki mtandaoni hakuna hata kutumiana picha. Suala la umri nk sio vigezo haya mambo ni mtandaoni tu.

Nataka kutengeneza picha ya mapenzi bora.... kama uko tayari zama inbox, hakuna haja ya kuomba sijui nini... hii mbanga ni mtandaoni tu.

Nawasilisha.
Mke wa mtandaoni nipo hapa....baby wangu njoo tuzame kwenye dimbwi la mahaba. Nitakupa mahaba utafurahi wewe, nyuzi na tag, cc hazitakauka huku.

Ingawa swali langu ni moja.....je hela za kutumiana mtandaoni zitakuwepo??????
 
Mke wa mtandaoni nipo hapa....baby wangu njoo tuzame kwenye dimbwi la mahaba. Nitakupa mahaba utafurahi wewe, nyuzi na tag, cc hazitakauka huku.

Ingawa swali langu ni moja.....je hela za kutumiana mtandaoni zitakuwepo??????
Kama ambavyo tutakaribishana chakula mtandaoni, na kutoka kwenda club mtandaoni... na hela tutatumiana mtandaoni.
 
Nimesoma comments nyingi za wadada zinasisitiza sana mambo ya kutuma hela,hii inaonyesha kunasa nyoyo za wadada hela inahitajika sana aisee
 
Back
Top Bottom