Matokeo1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 231
- 42
Wapenzi wa jf mimi ni kijana wa 29yrs ni mhitimu wa chuo kikuu lakini kazi bado, natafuta mchumba wa kuoa namaanisha, awe mkristo, mcha Mungu, ajali familia yetu kama ilivyo yao, awe ametulia sio kiruka njia, kikubwa zaidi awe na shape nzuri maana maishani natamani kua na mkee aliejazia, simaanishi aliejazia sanaaa, sura nzuri sana sijalishi, sibagui elimu wala kabili ila awe na umri kuanzia 20-29, nawasilisha ndugu zangu, mbarikiwe.