Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Tena mimi sitaki waajiriwa, nataka waajiri. Kama wewe ni muajiri basi niambie nikuPM swali langu linalohusu size ya maumbile yako.Mbona unaniogopesha tena mkuu, kuhusu kazi haijalishi maana kama kipato ninacho tena fresh tu, kusema sina kazi haimaanishi sina pesa namaanisha mi sio mwajiriwa.