Matokeo1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 231
- 42
- Thread starter
- #41
hakuna mwanamke anayetaka mwanaume mweny akil ndogo,n sory to say it but nahic akili yako ni ndogo,umemaliza chuo hujapata kazi,badala ya kufanya mishe mishe ya hela,unabaki kusema income ipo ila c kivile,elimu yako imekusaidia nini?na inavyoonekana bado una mawazo ya kuajiriwa cz we ajira ndo unaona ni kitu pekee cha kukupa hela!unaajiriwa na mshahara wa 600,000 ina maana kwa siku ni 20000,hyo sasa ndo income kivile?jitume kwa bidii one year unasimama fresh acha mawazo ya ndoa kwa mwanaume mpaka 35 yrs bdo unaoa bila shida kabisa tena mdada hta wa 20 yrs...Wadada hatutak shida siku hzi ndo maana na sisi tunafanya kazi kwa bidii...
Dah! nisamehe kwa hili, wew inaelekea ni kilaza full, upo kama remote controll maana hujitambui na unaelekea unapenda vya bure kwa wanaume sana, unaweza kukuta vyanzo ninavyosema kivilee kwako ni bonge la mradi ila kwa upande wangu ni kidogo, maana matumaini yangu ni over expectation, naweza kua na 70mll nikaona bado kutokana na malengo yangu, sitaki kuajiriwa na hivyo vi 600,000= kwa mwezi wakati elimu yangu inaniwezesha kuendesha mirad yangu na kupata zaid ya 1ml kwa mwezi, elimu yako niyakufikiria kutumikia wengine tu, alaaaaaaa!