Mkwezi1987
Member
- Nov 12, 2017
- 5
- 12
Naitwa F mwenye umri 36, dini mkristo, kazi nimejiajiri, mrefu kiasi.
- Natafuta mke wakuoa mwenye sifa hizi;
- Umri - 33-38
- Dini- Mkristu
- Elimu - Kidato cha sita na kuendelea.
- Mtoto - Akiwa naye siyo mbaya.
- Kabila - Lolote.
- Urefu- 5.6".
- Muonekano - Awe wa kati.
- Kazi - Yeyote ili mradi mkono uingie kinywani.
- Awe tayari kupima HIV.
- Awe na hofu ya Mungu (akiwa TAG siyo mbaya).