Natafuta mke wa kuoa

Mkwezi1987

Member
Nov 12, 2017
5
12
Naitwa F mwenye umri 36, dini mkristo, kazi nimejiajiri, mrefu kiasi.

  • Natafuta mke wakuoa mwenye sifa hizi;
  • Umri - 33-38
  • Dini- Mkristu
  • Elimu - Kidato cha sita na kuendelea.
  • Mtoto - Akiwa naye siyo mbaya.
  • Kabila - Lolote.
  • Urefu- 5.6".
  • Muonekano - Awe wa kati.
  • Kazi - Yeyote ili mradi mkono uingie kinywani.
  • Awe tayari kupima HIV.
  • Awe na hofu ya Mungu (akiwa TAG siyo mbaya).
Mwenye utayariau nicheck aje tuyajenge pm.+255 786 295 976
 
Naitwa F mwenye umri 36, dini mkristo, kazi nimejiajiri, mrefu kiasi.

  • Natafuta mke wakuoa mwenye sifa hizi;
  • Umri - 33-38
  • Dini- Mkristu
  • Elimu - Kidato cha sita na kuendelea.
  • Mtoto - Akiwa naye siyo mbaya.
  • Kabila - Lolote.
  • Urefu- 5.6".
  • Muonekano - Awe wa kati.
  • Kazi - Yeyote ili mradi mkono uingie kinywani.
  • Awe tayari kupima HIV.
  • Awe na hofu ya Mungu (akiwa TAG siyo mbaya).
Mwenye utayariau nicheck aje tuyajenge pm.+255 786 295 976
Unataka kulima halafu unachagua jembe!!

Utasubiri sana mwenye sifa ulizoorodhesha
 
Mim natafuta mke, kigezo ni kimoja tu;
Awe na umri kati ya miaka 23-27 (HIV negative)
 
Naitwa F mwenye umri 36, dini mkristo, kazi nimejiajiri, mrefu kiasi.

  • Natafuta mke wakuoa mwenye sifa hizi;
  • Umri - 33-38
  • Dini- Mkristu
  • Elimu - Kidato cha sita na kuendelea.
  • Mtoto - Akiwa naye siyo mbaya.
  • Kabila - Lolote.
  • Urefu- 5.6".
  • Muonekano - Awe wa kati.
  • Kazi - Yeyote ili mradi mkono uingie kinywani.
  • Awe tayari kupima HIV.
  • Awe na hofu ya Mungu (akiwa TAG siyo mbaya).
Mwenye utayariau nicheck aje tuyajenge pm.+255 786 295 976

Hivi kinachofanya mtu atafute mwenza kwenye mtandao ni nini hasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom