Natafuta mhandisi mwenye sifa kuandaa michoro ya plumbing kulingana na house plan ya vyumba vitatu. Plan imeshapata kibali cha ujenzi.

Natafuta mhandisi mwenye sifa kuandaa michoro ya plumbing kulingana na house plan ya vyumba vitatu. Plan imeshapata kibali cha ujenzi.

Kama una huo ujuzi tuongee. Hata kama huna degree ya engineering ili mradi una uzoefu wa kutosha
Mara nyingi architecture ndo anaweza kuweka plan then ukishajenga plumber akija mnashauliana kipi kiwe wapi naye anakupa uzoefu kulingana na nyumba ilivyo mfano kuweka bathtub, jacuzzi, floating toilet, shower mix n.k vitu hivyo vinategemeana na mfuko na ukubwa wa washroom
 
Mchek huyu ni engineer na mzoefu +255 716 450 600
 
Back
Top Bottom