Pamoja na ukiritimba wa vibali vya ujenzi kuwa bei juu ukiambata na mazingira ya rushwa kuanzia wapimaji katika halimashauri nyingi Tanzania!
Lakini haiondoi haki na wajibu wa kila mtu!
Taratibu za ujenzi katika halmashauri zote zinataka mtu yoyote anayehitaji kufanya ujenzi Tanzania lazima;
1. Awe na michoro iliyoidhinishwa kutoka mchoraji aliyesajiliwa (registered architecture) gharama inaweza kua laki 3 hadi 1mil au zaidi
2. Malipo ya kibali cha ujenzi kila manispaa wana bei zake wanachaji kwa square meter kulingana na ukubwa wa eneo linalojengwa (building area) ambapo square mita moja inaweza kuwa (elf 2~10 au zai) hivyo kwa eneo la sq 400 hivyo unaweza kulipia vibali vya ujenzi laki nane au 1mil ili wakupatie building permit
3. Mbali na pesa hiyo bado kuna pesa ya maombi ambayo huwa fixed inaweza kuwa elfu 50 au zaidi etc
Anyway nisirefushe mada! Yote kwa yote hata kama sheria ni ngumu wamiliki wanalazimika kuzifuata kabla ya kujenga!
Mkuu wa wilaya wakiongozana na polisi wamekamata mafundi waliokuwa wakijenga kwenye nyumba iliyosimamishwa ujenzi kwa kutokuwa na vibali!
Swali! Anaetakiwa kukamatwa ni fundi au mmiliki?
What if kama mmiliki wa jengo aliwadanganya mafundi kwamba kila kitu kipo kashakamilisha?
Ni fundi gani na njaa hii atathubutu kumuuliza bosi vibali wakati kazi zenyewe za kusotea?
Unaanzaje kukamata mafundi wabangaizaji innocent na kuwasondeka kwenye difenda wakati jengo linamwenyewe, jengo lipo, mwenyekiti wa mtaa yupo, mjumbe yupo etc!
Cha ajabu kila fundi kaambiwa alipe laki nne ili aachiwe, wapo 15!
Kosa lao kwenda kujenga nyumba pasipo kumhoji bosi wao kibali cha ujenzi!
Waziri Tamisemi mh Bashungwa, na Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,kazi, Ajira vijana wazee na wenye ulemavu shughulikieni mapema jambo hilo, DC na mkurugenzi hawana hekima!
Rais ikimpendeza fukuza hao ili nao watoke ofisini waone maisha yalivyo magumu kwa wabeba zege
AJIRA ngumu
Pia unaweza kusoma mada hii
Lakini haiondoi haki na wajibu wa kila mtu!
Taratibu za ujenzi katika halmashauri zote zinataka mtu yoyote anayehitaji kufanya ujenzi Tanzania lazima;
1. Awe na michoro iliyoidhinishwa kutoka mchoraji aliyesajiliwa (registered architecture) gharama inaweza kua laki 3 hadi 1mil au zaidi
2. Malipo ya kibali cha ujenzi kila manispaa wana bei zake wanachaji kwa square meter kulingana na ukubwa wa eneo linalojengwa (building area) ambapo square mita moja inaweza kuwa (elf 2~10 au zai) hivyo kwa eneo la sq 400 hivyo unaweza kulipia vibali vya ujenzi laki nane au 1mil ili wakupatie building permit
3. Mbali na pesa hiyo bado kuna pesa ya maombi ambayo huwa fixed inaweza kuwa elfu 50 au zaidi etc
Anyway nisirefushe mada! Yote kwa yote hata kama sheria ni ngumu wamiliki wanalazimika kuzifuata kabla ya kujenga!
Mkuu wa wilaya wakiongozana na polisi wamekamata mafundi waliokuwa wakijenga kwenye nyumba iliyosimamishwa ujenzi kwa kutokuwa na vibali!
Swali! Anaetakiwa kukamatwa ni fundi au mmiliki?
What if kama mmiliki wa jengo aliwadanganya mafundi kwamba kila kitu kipo kashakamilisha?
Ni fundi gani na njaa hii atathubutu kumuuliza bosi vibali wakati kazi zenyewe za kusotea?
Unaanzaje kukamata mafundi wabangaizaji innocent na kuwasondeka kwenye difenda wakati jengo linamwenyewe, jengo lipo, mwenyekiti wa mtaa yupo, mjumbe yupo etc!
Cha ajabu kila fundi kaambiwa alipe laki nne ili aachiwe, wapo 15!
Kosa lao kwenda kujenga nyumba pasipo kumhoji bosi wao kibali cha ujenzi!
Waziri Tamisemi mh Bashungwa, na Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,kazi, Ajira vijana wazee na wenye ulemavu shughulikieni mapema jambo hilo, DC na mkurugenzi hawana hekima!
Rais ikimpendeza fukuza hao ili nao watoke ofisini waone maisha yalivyo magumu kwa wabeba zege
AJIRA ngumu
Pia unaweza kusoma mada hii
Ukiachana na bei za Saruji, bei ya kupata Kibali cha ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu huko Halmashauri ya Kigamboni ni Tshs 250,000
Wakati tukiendelea kumtafta mchawi aliyepandisha Cement! Shida kubwa ya halmashauri nyingi ni kugeuza sheria kuwa vyanzo vya mapato. Tutafakali gharama zifuatazo za kibali cha ujenzi huko halmashauri ya Kigamboni. Bei hizi zinasimamiwa na ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kutunisha mfuko wa...
www.jamiiforums.com