Mlimazunzu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 415
- 53
me too
aisee,,niliingiwa na taharuki atii..!!
Ni kweli kabisa mkubwa
me too
aisee,,niliingiwa na taharuki atii..!!
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa love connect . Hili ni jamvi la love connect but inaonekan sasa kama vile linakua la people connect Wanaosaka wapenzi wanatangaza kama vile wanatafuta product Jamani kwa wale ambao wako serious kutafuta wachumba awe wakike au wa kiume walau basi kuweni serious na post mnazotuma kuonesha ni kweli unahitaji huyo mtu
Tips kabla hujatuma
Na mengineyo ya muhimu
- Eleza sifa zako za nje na ndani zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia naona pia unamata.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unae muhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama yupo JF pleeeeeeeeease m-PM mana hamna haja ya kutupa wote faida otherwise kama mnatualika harusi
- Toa contacts walau e-mail address mana CM utakua umepalia makaa..
- Unapotuma thread onesha basi you mean it maana kama ni utani it is better ikiwa jukwaa la jokes
Blaki Womani mbona umepiga kambi kwenye huu uzi wa vijana??
Au na wewe umeamua kurudi mawindoni?
I wish I could retest my skills...lol!!
Babu DC!!
Sikuwahi kuona hii thread kwa sababu si mdau wa hayo mambo mambo,
Ila nilivutiwa na tangazo la Da Asha (@AshaDii) na kutaka kujua kulikoni...
Naomba niseme ukweli kuwa hujatutendea haki.....nilikuwa tayari naandaa mistari ili nitume maombi...
Potelea mbali, nilihisi kama vile siku ya kupoza udhu wangu imefika.....lol!!
Next time usiturushe roho Da Asha, ...sawa?
Babu DC!!
Sasa mbona unanicheka mzee mwenzangu?
Huyu AshaDii hajatutendea haki wakubwa wenzie....
Asipokuja hapa kurekebisha lugha nitafungua kesi ICT...
Babu DC!!
Kaka DC mie nilivyo muoga wa case... tena ICT, rite here kujibu shutuma thou wanisingizia hata sistahili... Lol. Sio wewe ulisema kuwa madade DC atabaki peke yake hata mpango wa kando ulisha staafu? Hizi lawama za nini sasa? :becky:
mbona hukujibu kwa nini umeturusha roho?
kuhusu babu na nadhiri zake, ndo maana nikasema kuwa tangazo lako linaweza kumfanya babu apoteze udhu bila kuangalia nyuma.
Ulitikiria nini hadi ukatutenda kiasi hicho?
Babu DC
Asha dii na Madame B kuna nn , mbona mnazidi kunichanganya kichwa?:confused2::confused2::confused2::confused2: mm siwaelewi kabisaaaaaaaaaa! Kuna nini????
Lisa mpendwa, soma bandiko langu vizuri... Mie ninae nilomshiba tayari, hii ilikuwa ushauri kwa watafuta love...