Ahsante, unajua vitu vingi. Upo vizuri.Ni one way wanatumia psychedelics (miti shamba fulani) ku tinker normal functioning za ubongo na hufanya mtu kukosa locus of control inatumika hasa kwa healing of trauma. Na pia inasaidia mtu kupata glimpses za Enlightenment
Psychedelic ni dawa ambazo ukipata inaweza ku saidia kutoa anxienty inasaidia kutoa kumbukumbu ulizosahau na mambo mengi ya kisaikolojia hata kuweka kumbukumbu mpya na hypnosis ni therapy ya ku relax ubongo inasaidia pia ku punguza anxiety addiction pia inaweza tumika ku influence behaviour na kumbukumbu kufuta au kuweka nyingineAm curious, tell me more about this?
Kuna vitu huwezi share na circle yako hiyo that's why you would need a confidantWhy, am normal in person though nina small social group ila wako loyal pia.
Post kule uwa naona Kuna temple's zaoZa jioni wadau...
Nimekuwa ni kipractice meditation for a while now.
Imenisaidia pakubwa ila kuna Sehem nataka kufikia spiritually ila nakosa focus and concentration nikifanya peke yangu.
Nataka kujua ni wapi kuna temple, au Kuna ma Buddha... Achana na yogist
Hasa kwa Dar
Nataka wale wanaofanya extensive and intensive meditation ile ya complete focus...
Nimekuwa muumini wa meditation ila ukweli kuna power of being a group kuna kwa na sense of accomplishment, ingawa sio lengo kuu la meditation but ni gateway mojawapo ya kupata glimpse of Enlightenment.
Kama kuna mtu ana practice na wanagroup lililo serious pia ingekua powa zaidi...
Na fikiria kuja kwenda India pia mwisho wa mwaka I've been saving for that.
So wadau kama kutakuwa na mtu anajua au ana fahamu mahala naweza kupata hiyo community atakuwa amenisaidia.
Nakusoma mkuu๐Psychedelic ni dawa ambazo ukipata inaweza ku saidia kutoa anxienty inasaidia kutoa kumbukumbu ulizosahau na mambo mengi ya kisaikolojia hata kuweka kumbukumbu mpya na hypnosis ni therapy ya ku relax ubongo inasaidia pia ku punguza anxiety addiction pia inaweza tumika ku influence behaviour na kumbukumbu kufuta au kuweka nyingine
Kijana inabidi aende temple, aachane na toxicity ya smart phone๐๐๐๐๐ anai channel kunako shimo la matusi labda.
Unajua kwa nini ana ku jaji?Why are you judging me hivyo ๐ dah
Una madini ambayo hata kina dalai lama hawanaKwa nini!
Yupo sahihi kabisaDaah anakosea
Wewe uko mkoa gani?Wapi huko ni post?
Exactly my pointMmh what do you mean by that!
Someone I can trust sio?
I can relate here ๐Why are you judging me hivyo ๐ dah