Natafuta Kundi la Meditation ya Kina

Natafuta Kundi la Meditation ya Kina

Tayari nina website yake na maudhui yake nitasoma kwanza nijue then kama nitawiwa nitamcheki. Maana anafocus kwenye astrology sana sijajua kama yuko kwenye Maswala ya meditation
Kwa ulipofikia hatua inayofuata nafikiri yeye atakufundisha namna ya kutoka kwenye mwili.

Hiyo ndio hatua zaidi kwenye hiyo. Huko utakutana na wafu utaongea nao. (Hapo ndio kama una ndugu zako kuna kitu kama pesa alificha mahala, atakuambia kilipo). Utaongea nao kawaida. Mwanzo unaweza ukaogopa lakini baadae utawazoea.

Hatua inayofuata utaonana na malaika wako wale wawili. Hii hatua ndio mfano ukiumwa unayoweza kujitibu mwenyewe kwa miti shamba utakayoelekezwa. Pia unaweza kuambiwa njia unayopita badirisha ghafla kuna ubaya mbele. Hii hatua ndipo wanatokea waganga wa mitu shamba wale wa ukweli wanaokaa polini huko. Kila dawa anaelekezwa na hawa malaika kulingana na ugonjwa au tatizo la mtu.

Hatua kubwa ya mwisho ni kuongea na MUNGU. Hii hatua ndio wengi wakifika hii wanatokea wanaojiitaa manabii. Hii hatua unaweza kujua vya mbele. Yaani mfano ulikuwa unataka kusafiri unaweza kujua safari yako ilivyo kabla hujaianza. Unaweza kujua kesho yako. Unaweza kuwaelewa wanyama wanasema nini? Mpaka sisimizi unaweza kuwasikia wanasemaje. Hapa ndio unaweza ukaacha kula nyama ya mnyama yoyote,ksbb wote wanakuwa marafiki zako n.k n.k.

UKIFIKIA HUKU UTAISHI MAISHA YA FURAHA SANA KSBB KILA KITU UNAKUWA UNAKIJUA.

HAPO NDIO MUNGU ALIPOSEMA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. MAARIFA YENYEWE NDIO HAYA YA KUFIKIA HUKO NDIO WENGI TUMEYAKOSA
 
Kwa ulipofikia hatua inayofuata nafikiri yeye atakufundisha namna ya kutoka kwenye mwili.

Hiyo ndio hatua zaidi kwenye hiyo. Huko utakutana na wafu utaongea nao. (Hapo ndio kama una ndugu zako kuna kitu kama pesa alificha mahala, atakuambia kilipo). Utaongea nao kawaida. Mwanzo unaweza ukaogopa lakini baadae utawazoea.

Hatua inayofuata utaonana na malaika wako wale wawili. Hii hatua ndio mfano ukiumwa unayoweza kujitibu mwenyewe kwa miti shamba utakayoelekezwa. Pia unaweza kuambiwa njia unayopita badirisha ghafla kuna ubaya mbele. Hii hatua ndipo wanatokea waganga wa mitu shamba wale wa ukweli wanaokaa polini huko. Kila dawa anaelekezwa na hawa malaika kulingana na ugonjwa au tatizo la mtu.

Hatua kubwa ya mwisho ni kuongea na MUNGU. Hii hatua ndio wengi wakifika hii wanatokea wanaojiitaa manabii. Hii hatua unaweza kujua vya mbele. Yaani mfano ulikuwa unataka kusafiri unaweza kujua safari yako ilivyo kabla hujaianza. Unaweza kujua kesho yako. Unaweza kuwaelewa wanyama wanasema nini? Mpaka sisimizi unaweza kuwasikia wanasemaje. Hapa ndio unaweza ukaacha kula nyama ya mnyama yoyote,ksbb wote wanakuwa marafiki zako n.k n.k.

UKIFIKIA HUKU UTAISHI MAISHA YA FURAHA SANA KSBB KILA KITU UNAKUWA UNAKIJUA.

HAPO NDIO MUNGU ALIPOSEMA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. MAARIFA YENYEWE NDIO HAYA YA KUFIKIA HUKO NDIO WENGI TUMEYAKOSA
Nashukuru sana kwa taarifa.
 
I don't think una uelewa kuwa meditation inaletaje utulivu wa akili? Sio utulivu wa kukaa silent ewe mmatumbi

Sio kuwa na utulivu wa akili. Akili Kamwe sio tulivu
Basi kama ni hivyo haina faida,sasa ni utulivu gani huo kama unaropoka kama muimba singeli au panyaroad.
 
Basi kama ni hivyo haina faida,sasa ni utulivu gani huo kama unaropoka kama muimba singeli au panyaroad.
Kuna wakati wa kuropoka, wakati wa kula, wakati wa kucheza, wakati wa kuwa focused, wakati wa kufanya mapenzi..

Wataki ndo msingi hapa. Na maisha ni wakati. Hauwezi kusema mtu aishi katika wakati mmoja haiwezekani.
 
Back
Top Bottom