Kuna mganga anaunganisha watu freemason , usalama wa taifa, na pia anatoa ukurugenzi wa tra, bot na asasi nyingine nyeti, ngoja niku PM namba yake sasa hivi
CV yako nimeipenda, ni2mie 35,000/= niku2mie maswali watakayokuuliza kwnye usaili usalama wa taifa.
its mi SHAFII .......
kama uko serious ni PM nitakusaidia
Una bei gani?manake siku hizi ni mwendo wa 'chukua chako mapema'Wana jamvi!
Naombeni msaada wenu kunipata assistance yoyote itakayo nipa uwepesi kufanikiwa kazi @ usalama wa taifa - national security
Asanteni!
Mkuu kwani kuomba kazi TISS ni dhambi kubwa sana? Acha vitisho bana!Wakati mwingine jaribu kutumia Akili.
Siku nyingine usirudie kuandika km ni kazi huoni matangazo mpaka TISS?
Mtafute Chagonja ndio deal zake maana miaka imeshafikia ukingoni anatafuta deal la kustaafia....ama la muone mke wa Chagonja pia nae atakupeleka faster tu!
nenda ofisi ya mkuu wa wilaya iliyo karibu na wewe mtafute mtu anaitwa DSO hawa jamaa ndio wanapewa taarifa za nafasi kama zipo na ndio wanarecommend watu wa kuajiriwa na TISS. Naamini atakupa ushirikiano na ushauri mzuri kuhusu jinsi wanavyoajiri