Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Huwa wanachukua vijana wengi wanafeli kn
weye vetting na kujikuta wanabaki na wajukuu wa wakuu wa usalama wa taifa enzi za mwal nyerere.....
Ajaribu ustawi wa jamii anaweza kubahatisha afisa afya kata ya nankurunkuru lindi vijijini
 
Kwa kuwa kazi zao huwa hazitangazwi hakuna tatizo kama utakwenda ktk ofisi zao kueleza shida yako. Wapo kwa ajili ya kuwatumikia watanzania. Au, kama unafahamiana na mtu anayefanyia kazi huko ongea naye ili akupe muongozo.

Kwasababu hawa watu nawaogopa sana ki ukweli yani sijui nawafikiliaje nadhan ukienda ofisa zao wanaweza wakakuumiza wakidai kua umeenda kuwachunguza labda kumbe unashida kwelii sasa sijui nikifika pale nisemeje hasa getini maaana duuuh napaogopa kwelii ofsi za hawa watuu wa UWT yani nahofia kwamba wanaweza kuniiza kea kwenda kuulizia inshu kama hiyooo
 
Huwa wanachukua vijana wengi wanafeli kn
weye vetting na kujikuta wanabaki na wajukuu wa wakuu wa usalama wa taifa enzi za mwal nyerere.....
Ajaribu ustawi wa jamii anaweza kubahatisha afisa afya kata ya nankurunkuru lindi vijijini

Duuuuh ndo unazidi kutukatisha tamaaa hivi ukienda pale ofsini kwao kweli hawatakupa tifu mpaka ukajuta kwenda kuulizia hiyo nshu ya kazi zaoo maaana daaah yani hawa watu sijui nawachukuliaje kwanza yani naona kama hawapo duniani ni wakufikirika na zule ofsi naziogopa kama ukoma aiseee
 
Huwa wanachukua vijana wengi wanafeli kn
weye vetting na kujikuta wanabaki na wajukuu wa wakuu wa usalama wa taifa enzi za mwal nyerere.....
Ajaribu ustawi wa jamii anaweza kubahatisha afisa afya kata ya nankurunkuru lindi vijijini

Ahahaha kaka social work is the profession of many faces; kweli akasomee pale chuo cha ustawi wa jamii anaweza kuwa afisa ustawi hata nanjirinji.
 
Hivi Tumbu unaendaje kumtafutia kazi ya Usalama wa Taifa mdogo wako? Ina maana kuwa yeye hana uwezo wa kujisimamia je na kazi yenyewe ataiweza? Sidhani pia ukifika pale watakuelewaje kama muhusika mwenyewe siyo committed. Mwambie mwenyewe aende as a potential candidate!!
 
Hivi Tumbu unaendaje kumtafutia kazi ya Usalama wa Taifa mdogo wako? Ina maana kuwa yeye hana uwezo wa kujisimamia je na kazi yenyewe ataiweza? Sidhani pia ukifika pale watakuelewaje kama muhusika mwenyewe siyo committed. Mwambie mwenyewe aende as a potential candidate!!

mdogo wangu anaogopa sana mkuu yani sana tena ndo usimwambie kbsaaa habari za kwenda huko ofsini kwao yani anatetemeka sana aisee ila kila saa ananiambia broo nisadie unipe clue ya kuweza kujiunga na kazi hiyoo jaman nishasubiria sana shule nikakosa moka sasa anaingia form six sasa hawajawahi kwenda shule yeyote aliyosomea hilo hata mimi nathibitisha kua tangu nianze shule hawa jamaa sijawahi kuona wanakuja kutafuta watu shuleni kama watu wasemavyoo sasa ndo natamani niende ofisini kwao wanipe procedure za kufata sasa naogopa na mimi nisijeshindwa kurudi tena nyumbani akwa historia kua Tumbu alipotelea UWT rabda maana nasikia hiyo ya jkt haiaminiki unaweza kwenda hulo na wasije kbsaa kufata watu huko mkuuu
 
Nenda.uoga wako ndo umasikini wako.fika eleza shida yako.if no sawa if yes sawa.nchi huru jamanii.kwani kuuliza ni kuvunja sheria?
 
Nenda.uoga wako ndo umasikini wako.fika eleza shida yako.if no sawa if yes sawa.nchi huru jamanii.kwani kuuliza ni kuvunja sheria?

Hilo nalo neno mkuu ila sijui pale wataniruhusu kuingia getin kwanza
 
Jambo jingine la msingi kabla hujaenda huko muulize mdogo wako kwa nini anaipenda hiyo kazi lakini anawaogopa hao UWT. Swali ls kwanza utakaloulizwa ni kwa nini unaitaka hiyo kazi. Vinginevyo unatakiwa kujua kuwa hiyo ni kazi kama kazi nyingine. Kuna mazuri na mabaya yake. Kuna raha na tabu zake. Zaidi ya yote kila mtanzania ili mradi awe na sifa ana haki ya kujiunga na UWT.
 
Kama wahusika utakaowakuta mlangoni wanaijua kazi yao hawawezi kukukatalia.

Sawa Jupiter ngoja nitaenda kuulizia jumatatu nikifika pale nitawambia naomba kuonana na muhusika yoyote wa idara hii au msemaji wa idara hii kwa hapa(ofsi nitakayoenda)then najua nitaulizwa maswali wa nini hahahahaa hapo sasa ndo nitakula mdomo hahahaha
 
Jambo jingine la msingi kabla hujaenda huko muulize mdogo wako kwa nini anaipenda hiyo kazi lakini anawaogopa hao UWT. Swali ls kwanza utakaloulizwa ni kwa nini unaitaka hiyo kazi. Vinginevyo unatakiwa kujua kuwa hiyo ni kazi kama kazi nyingine. Kuna mazuri na mabaya yake. Kuna raha na tabu zake. Zaidi ya yote kila mtanzania ili mradi awe na sifa ana haki ya kujiunga na UWT.

nilishawahi muuliza akasema ana intrisic motivation(kupenda toka moyoni)kufanya kazi ya epstionage kaka inshort anapenda tu kwenye idara hiyo kama watu wanavyopenda kuwa walimu.wanajeshi.marubani na nk mkuu
 
Kwenye hizo ofisi nani anafaa kuulizwa hasa anipe deteils nzuri??yani maafisa waandamizi au yeyote tu nutakae mkuta pale au niende kama kuomba nionane na nani kwenye idara ili nipate habari vzr jaman samahanini kwa kuwasumbua sana naomba mnisaidie nashida kweli ya kufanikisha hii ili tufanikishe haki ya msingi ya mdogo wangu ambayo hata katiba inamruhusu kufanya hii kazi anayoipenda asanten naomba nilekezwee
 
Kwanza kupenda tu hiyo kazi, ameshakosa vigezo.
Hiyo kazi mtu huwa hapendi yeye, ila anapendwa.
 
Kwanza kupenda tu hiyo kazi, ameshakosa vigezo.
Hiyo kazi mtu huwa hapendi yeye, ila anapendwa.

Kazi kweli kweli Mkiu kwanini sasa iwe hivyoo??mdogo wangu yupo kijijini huko na hawa jamaa hawafati watu vijijini sijui yani nu shida itakavyokua na iwe mimi naenda kuuliza kama kukosa ashakosa sawa tuuu chamsingi nijue cha kumwambia mdogo wangu basiii kama ukiwafata wanakunyima wakati sifa zote na haki unayo basiii sawa tuu
 
Ndugu njia nyepesi ya kufikisha ujumbe wako ni kwa njia ya barua. Maana hata kama mtu hataki kukusikiliza lakini barua ataisoma hadi mwisho. Weka CV zako zote, Anuani ikiwa ni pa moja na namba za simu na barua pepe. Ila sasa usiogope kupokea simu. Elekeza
maombi kwa Mkurugenzi Mkuu wa UWT. Akifanikiwa naye asiwaige wanaoifanya kazi hiyo kuonekana ni ya watu walioshuka toka mawinguni wakati ni kazi ya kawaida kabisa. Siku njema na Mapumziko Mema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom