Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Habari wakuu, mi huwa navutiwa na napenda sana kufanya kazi za kijasusi! though ninasomea professional nyingine lakini hii nimetokea kuipenda sana huku nikijiamini kuwa naiweza kuifanya! na huwa navutiwa sana na umakini wa PSU mpaka wengine nimewakariri sura zao! tatizo ntaipata vipi? Japo wengine wakinambia kuwa ni risk sana! Je naweza nikapata maelezo naweza ipata vipi?

sometimes hizo kazi ni risk kama ulivyosema, kuna wakati inabidi ukubali kuliwa muhimu target iwe arrested, uzuri wako na siri sana hata ukiliwa hakuna atakaejua.
 
Mkuu unamchafua Sixgate kukosea ni bahati mbaya mtu yeyote anaweza kukosea halafu kukosea tenses haimaanishi akili zako ni ndogo English Language has nothing to do with Mswahili's thinking capacity

Mkuu Sabayi nadhani ndugu yangu Diga Diga he got his own primitive way of thinking..wapo watu wa aina hii kwao contents hai- count kbs
 
Last edited by a moderator:
ungejifunza kwanza critical thinking and argumentation ingekusaidia sana sana kwenye kujenga hoja na kufikia hitimisho.
ila habari njema kwako,umesamehewa bure kwa kudhani upo sekondari mnapopigania kuwa wa kwanza!
wakati mwingine jipange vyema!

Hahahahaa imeiweka sawa hii mkuu, anapigania kujibu makosa kwa kuandika hati nzuri..
 
Huko sio kukosea, na wala sio kujifanya eti akusanye taarifa zaidi. Taarifa gani hizo huyo 6gate wenu atazipata kulingana na kukosea kwake? Hivi unaelewa hasa maana ya UWT na namna wanavyofanya kazi? Kwa akili yako huyo 6gates hata akipupu utasema kafanya hivyo makusudi ili akusanye taarifa! What a nonsense! Halafu unawezaje kusoma na kuelimika kisawasawa uchemshe kiasi hicho lugha uliyoitumia katika mafunzo kwa zaidi ya miaka 15 halafu ujidai kuwa eti una akili kubwa? Are you myopic or?

Inatosha mkuu Diga Diga, utatutoa kwenye sred.....

Mngony

Believe in your vision and gifts when no one else believes in your vision and gifts.
 
Safi sana mr mngony unaweza kwenda ofisi ya mkuu wa wilaya atakupa maelekezo kila wilaya inakuwa na ofisi zao, umeonyesha uwezo mkubwa sana wa kujieleza, sio kweli TISS watu wote waliopo wanaingia katika njia za undugu ama kujuana, try your lucky bro!

nashkuru kaka kwa maelezo yako
 
Last edited by a moderator:
Huko sio kukosea, na wala sio kujifanya eti akusanye taarifa zaidi. Taarifa gani hizo huyo 6gate wenu atazipata kulingana na kukosea kwake? Hivi unaelewa hasa maana ya UWT na namna wanavyofanya kazi? Kwa akili yako huyo 6gates hata akipupu utasema kafanya hivyo makusudi ili akusanye taarifa! What a nonsense! Halafu unawezaje kusoma na kuelimika kisawasawa uchemshe kiasi hicho lugha uliyoitumia katika mafunzo kwa zaidi ya miaka 15 halafu ujidai kuwa eti una akili kubwa? Are you myopic or?

Hauna hoja..kwani mafunzo TISS wanaenda kujifunza tense?..hata mzungu aliezaliwa pale uingereza anakosea tense...wanasoma ENGLISH LANGUAGE darasani na vyuoni ndo maana wana hadi degree ya lugha, ngugi wa thiong'o amefundisha kiingereza Oxford more than 20 yrs. kama sisi tunavyosoma KISWAHILI na wanafeli icho kingereza kama sisi tunavyofeli kwenye KISWAHILI.. Acha kujidharaulisha the more unavyoongea the more una appear kituko jf.
 
Wakati mwingine jaribu kutumia Akili.
Siku nyingine usirudie kuandika km ni kazi huoni matangazo mpaka TISS?
 
dogo nafikiri kwanza ungejiunga na usalama jamii (usalama wa taifa shirikishi)hawa nasikia wapo kama wale polisijamii,mgambojamii na trafikijamii .alafu baadae unaingia rasmi TISS(tanzania institute of social science)
 
"national security" hongera sana ndungu yangu kwa "kushiriki" masomo ya kidato cha nne.
 
Daaah, jamani mbona mnamkatisha mwenzenu ujasiri? ila keshapata ufumbuzi kupitia ndugu yetu anayetaka awe PMed na bwana Bujibuji bila shaka utakuwa ushamPM zile namba zetu..
Zangu mbavu..:smile-big::wink::tape2:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom