Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Serikali inayo idara ya Usalama wa Taifa(TISS), is not an idea, it is the fact! kwa ajili ya kuhakikisha taifa linakua salama from internal and external threats! nikipata kazi task kubwa itakua kuhakikisha ustawi wa amani katika nchi yetu kwa kuzuia uhalifu(wizi, ujambazi,biashara haramu,ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha n.k) na kuhakikisha uwepo wa usalama kwa wananchi kwa ujumla
Wewe hujui kazi za Usalama wa Taifa ni nini acha kukurupuka.

View attachment 78737
 
kama uko dsm nenda magogoni but pale kuwa makini omba kuonana ofisa wa zamu wambie security nashida then watakupa maelekezo nani umwone kama una moyo jasili panda kwa DDG-TISS jack zoka au nenda moja kwa DG-TISS Othuman Rashidi ukishindwa mtafute Apson Mwang'onda kule mbeya kapunzika baada ya kuitumikia Muda mrefu TISS Kama uko mkoani nenda ofisi zao omba kuonana na RSO Na wilayani nenda ofisi zao omba kumwona DSO First prity wasukuma,wakelewe na wapemba ndio wanaweza ukibahatika kupata PSU Vyema uwe mtu wa mazoezi sio mchumba.

kwa nini priority wasukuma, wakerewe na wapemba? kwa sababu ya urefu? naamini pia wanahitaji na watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri pia, sio maguvu na warefu tu though najua kwa PSU warefu wana credit kwa sbb wanakuwa na wild field of view!
 
Kila mkoa na Wilaya zina ofisi za Usalama wa Taifa, ulizia kwa wakuu husika. Ila jua ile kazi kama wanafuata sheria na taratibu zilizopo wanaoomba kwa personal interest ni nadra sana!!! Kiutaratibu mara nyingi ni lazima waku-point wao!! Ila kwa sasa nimjue nani na ndiyo maana hakuna maadili na siri zinafumuka nje nje!! Enzi zetu ni kuanzia Primary School observation zinafanyika na kuna taratibu zake hadi hapo utakapofikia kiwango na watakuchukua kwa utaratibu!! Nina details ila kawaida hazitakiwi hadharani. Cha msingi nenda ofisi hizo na kama watakuhitaji watakuelekeza ila usitegemee kupata haraka!!! Watakusoma wee hata miaka mitano, itategemea na spidi ya msomaji wako!! Ha ha!!

Ni kweli mkuu enzi za mwalimu recruitment process zilikuwa zinaanzia shule za msingi then unawekwa under observation mpaka unamaliza form six.....sasa hivi kimeo tupu...
 
hakika umenena.mimi shahidi wa unalosema.

obvious kwa sbb mara nyingi uwezo wa aina mbalimbali hurithishwa katika koo! ni km vile unakuta familia fulani wanacheza sana mpira. pia unakua ndani ya 'circle' sio rahisi kuasi na kufanya ujinga mwingine.
 
obvious kwa sbb mara nyingi uwezo wa aina mbalimbali hurithishwa katika koo! ni km vile unakuta familia fulani wanacheza sana mpira. pia unakua ndani ya 'circle' sio rahisi kuasi na kufanya ujinga mwingine.
Sio kweli..Nimeona mara kadhaa watoto wa wachungaji ni wavuta bangi...sasa si wangerithi utakatifu kama ndo hivo..Hypothesis yako sio kweli
 
Wewe hujui kazi za Usalama wa Taifa ni nini acha kukurupuka.

View attachment 78737

kwa sababu mie sio inawezekana kweli nimekosea. kuna kitabu nipo katika mpango wa kukinunua kinaitwa 'IJUE IDARA YA USALAMA WA TAIFA' kimeandikwa na Godwin Chilewa nikifanikiwa kukipata naamini ntajua zaidi
 
kwa sababu mie sio inawezekana kweli nimekosea. kuna kitabu nipo katika mpango wa kukinunua kinaitwa 'IJUE IDARA YA USALAMA WA TAIFA' kimeandikwa na Godwin Chilewa nikifanikiwa kukipata naamini ntajua zaidi
Ujinga ndio huu, Intelligent zero halafu unataka kazi ya Ujasusi, nimekuwekea Pdf File hapo ili ujue Usalama wa Taifa ni nini wewe unanieleza habari za kitabu cha Godwin!! poor you.
 
Ujinga ndio huu, Intelligent zero halafu unataka kazi ya Ujasusi, nimekuwekea Pdf File hapo ili ujue Usalama wa Taifa ni nini wewe unanieleza habari za kitabu cha Godwin!! poor you.

mbona mkali kaka, nisha download, ntaisoma badae!
 
Hahahaa sijakuepo jamvin mda kidogo tu tayari mshanichafua? Sio kweli mim ni mwananchi wa kawaida jamani

haya bwana yale maswali uliyomuuliza yalikuwa kama ya wenyewe vile
 
Kama huyo 6gate naye ni mmoja wao basi nchi hii haina watu wenye sifa kwenye hiyo Idara ya UWT. Cheki kiingereza chake: "If yes were did you got this idea?" Halafu mtu kama huyu ndio unakutana naye akufanyie usaili! Ama kweli ni Tz tu ndipo utakuta akili ndogo zikiongoza akili kubwa! Khaaaa, mpaka inatia kichefuchefu!

Mkuu unamchafua Sixgate kukosea ni bahati mbaya mtu yeyote anaweza kukosea halafu kukosea tenses haimaanishi akili zako ni ndogo English Language has nothing to do with Mswahili's thinking capacity
 
Mkuu unamchafua Sixgate kukosea ni bahati mbaya mtu yeyote anaweza kukosea halafu kukosea tenses haimaanishi akili zako ni ndogo English Language has nothing to do with Mswahili's thinking capacity
Huko sio kukosea, na wala sio kujifanya eti akusanye taarifa zaidi. Taarifa gani hizo huyo 6gate wenu atazipata kulingana na kukosea kwake? Hivi unaelewa hasa maana ya UWT na namna wanavyofanya kazi? Kwa akili yako huyo 6gates hata akipupu utasema kafanya hivyo makusudi ili akusanye taarifa! What a nonsense! Halafu unawezaje kusoma na kuelimika kisawasawa uchemshe kiasi hicho lugha uliyoitumia katika mafunzo kwa zaidi ya miaka 15 halafu ujidai kuwa eti una akili kubwa? Are you myopic or?
 
Jamani hii kazi there is no magic in it, ni kazi kama kazi zingine tu za uasikari. Hawa jamaa wanaitwa askari kanzu (secrete police), ni askari tu kama askari police na jwtz, hakuna cha ajabu huko
 
Huko sio kukosea, na wala sio kujifanya eti akusanye taarifa zaidi. Taarifa gani hizo huyo 6gate wenu atazipata kulingana na kukosea kwake? Hivi unaelewa hasa maana ya UWT na namna wanavyofanya kazi? Kwa akili yako huyo 6gates hata akipupu utasema kafanya hivyo makusudi ili akusanye taarifa! What a nonsense! Halafu unawezaje kusoma na kuelimika kisawasawa uchemshe kiasi hicho lugha uliyoitumia katika mafunzo kwa zaidi ya miaka 15 halafu ujidai kuwa eti una akili kubwa? Are you myopic or?

Acha kutoka mapovu bila sababu kukosea tense moja haimaanishi wewe ni kilaza mtu yeyote anaweza kukosea angekuwa ameandika page nzima tungekuwa na nafasi ya kumjudge ila kwa sentensi moja huwezi kujudge kama amekosea bahati mbaya au uwezo wake ndo umeishia hapo so acha kutoka Mapovu bila kufikiria
 
Duuu mwee. Naona maluwe luwe tu mwenzenu. TISS ndo ule mfumo wa malipo wa kibenki wa ku link mabenki? Nimeusikia sana.
 
Kama huyo 6gate naye ni mmoja wao basi nchi hii haina watu wenye sifa kwenye hiyo Idara ya UWT. Cheki kiingereza chake: "If yes were did you got this idea?" Halafu mtu kama huyu ndio unakutana naye akufanyie usaili! Ama kweli ni Tz tu ndipo utakuta akili ndogo zikiongoza akili kubwa! Khaaaa, mpaka inatia kichefuchefu!

Mkuu wangu Diga Diga kwanza mimi sio mmoja wao..pili nina haki ya kukosea kiingereza (if yes, were did you GOT this idea).. Nina haki ya kukosea sababu lugha yangu ya kwanza ni kinyiramba, then kiswahili,tatu kiingereza tena nabahatisha!.. Nataka pia uelewe hakuna uhusiano wowote wa kujua kiingereza na ufanisi katika kazi ama kuongoza... Ni tanzania pekee utazikuta akili ndogo zinazojadili upuuzi kama unaousema.

China na Japani ni mifano wa nchi zinazoendelea kwa kasi kiteknolojia na kiuchumi lakini hawajui kiingereza na wala hawana mpango nacho...nenda falme za kiarabu angalia hatua ya maendeleo yao, hawazungumzi kiingereza wale! Ila nikukumbushe rais wa brazil lula de silva ambaye ndie ameifanya hiyo nchi imekua kiuchumi ghafla, licha tuu ya kuongea broken english, elimu yake ni ya msingi, angalia korea kaskazini usifikiri wanazungumz kiingereza..ni akili ndogo tuu utakuta wanajadili kuhusu kiingereza..

Nakumbuka Marcio Maximo alikuja kama kocha wa timu ya taifa alikua hajui kuzungumza kiingereza lakini hakuwa anachekwa. Kosa ni kudanganya,kutukana lakini kutoweza kutumia lugha ya kigeni sio ujinga, kukosea tense sio tusi ndugu yangu!

Haya wewe una akili kubwa, unaongozwa na akili ndogo sasa hapo ni nani mwenye akili!?? Think.
 
Serikali inayo idara ya Usalama wa Taifa(TISS), is not an idea, it is the fact! kwa ajili ya kuhakikisha taifa linakua salama from internal and external threats! nikipata kazi task kubwa itakua kuhakikisha ustawi wa amani katika nchi yetu kwa kuzuia uhalifu(wizi, ujambazi,biashara haramu,ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha n.k) na kuhakikisha uwepo wa usalama kwa wananchi kwa ujumla

Safi sana mr mngony unaweza kwenda ofisi ya mkuu wa wilaya atakupa maelekezo kila wilaya inakuwa na ofisi zao, umeonyesha uwezo mkubwa sana wa kujieleza, sio kweli TISS watu wote waliopo wanaingia katika njia za undugu ama kujuana, try your lucky bro!
 
Last edited by a moderator:
Kama huyo 6gate naye ni mmoja wao basi nchi hii haina watu wenye sifa kwenye hiyo Idara ya UWT. Cheki kiingereza chake: "If yes were did you got this idea?" Halafu mtu kama huyu ndio unakutana naye akufanyie usaili! Ama kweli ni Tz tu ndipo utakuta akili ndogo zikiongoza akili kubwa! Khaaaa, mpaka inatia kichefuchefu!

ungejifunza kwanza critical thinking and argumentation ingekusaidia sana sana kwenye kujenga hoja na kufikia hitimisho.
ila habari njema kwako,umesamehewa bure kwa kudhani upo sekondari mnapopigania kuwa wa kwanza!
wakati mwingine jipange vyema!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom