sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Ndugu unakosea kufanya conclusion kwa dunia mzima kwa sample ya tanzania tu wakati hapo kenya tu wanatangaza magazetini.....hizo kazi zina taratibu zake jinsi ya kujiunga, nadhani bado hata tanzania bado zinatumia, ni wachache sana wanapenya kwa taratibu za hovyo hovyo na ndio wanaharibu, othersiwe wako poa
Mkuu fanya follow up kidogo, sio kenya sio marekani..japo zipo nchi zina kiwango kikubwa cha transparent kuhusu izo kazi but, mpaka sasa hivi inteligenc ya nation wao ndio wanarecruit..either kutoka kwenye jeshi,police ama kutoka direct from civil.