ok, ntaanzia ngazi ya mkoa ofisi ya mkuu mkoa pale rahisi kuingia. wakinizungusha ntaangalia kwenda makao makuu, lakini nafikiria naingiaje pale maana sio sehem ndogo Headquarters za taasisi nyeti kama ile! Anyway.
muombe MUNGU kila siku anaweza kusikia kilio chako maana hamtupi mja wakeHabari wakuu, mi huwa navutiwa na napenda sana kufanya kazi za kijasusi! though ninasomea professional nyingine lakini hii nimetokea kuipenda sana huku nikijiamini kuwa naiweza kuifanya! na huwa navutiwa sana na umakini wa PSU mpaka wengine nimewakariri sura zao! tatizo ntaipata vipi? Japo wengine wakinambia kuwa ni risk sana! Je naweza nikapata maelezo naweza ipata vipi?
Kila mkoa na Wilaya zina ofisi za Usalama wa Taifa, ulizia kwa wakuu husika. Ila jua ile kazi kama wanafuata sheria na taratibu zilizopo wanaoomba kwa personal interest ni nadra sana!!! Kiutaratibu mara nyingi ni lazima waku-point wao!! Ila kwa sasa nimjue nani na ndiyo maana hakuna maadili na siri zinafumuka nje nje!! Enzi zetu ni kuanzia Primary School observation zinafanyika na kuna taratibu zake hadi hapo utakapofikia kiwango na watakuchukua kwa utaratibu!! Nina details ila kawaida hazitakiwi hadharani. Cha msingi nenda ofisi hizo na kama watakuhitaji watakuelekeza ila usitegemee kupata haraka!!! Watakusoma wee hata miaka mitano, itategemea na spidi ya msomaji wako!! Ha ha!!
Fuata ushauri wa kuanzia katika ofisi ya Afisa Usalama wa Wilaya uliyopo.
nawashkuru kwa maelezo, pono unaposema kazi yeyote unamaanisha nini? na unaposema first assigment unamaana gani? assigment ni ya nn au kwa lengo gani? kunipima au? je wanaweza kumpa mtu assignment bila kumpa mafunzo?
Habari wakuu, mi huwa navutiwa na napenda sana kufanya kazi za kijasusi!
halafu inatia maudhi sana wanaotamani kuifanya kazi hiyo kwa moyo huwa hawapati nafasi. wasiotaka kuifanya kwa dhati ila kwa kuunganishiwa ndio wamejaa tele matokeo yake wanharibu tu sifa ya kazi yenyewe hapa TZ.
Sio tanzania tuu.. Serikali za dunia zimekua zikitumia utaratibu huu..kuwa na nia au kuipenda tuu hii kazi haitoshi... Mambo mengi huzingatiwa, nchi nyngine hutizama emotions,ukoo uliotokea, wanatizama your horoscope, mahusiano etc etc