Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Fixed Point kwani we ni mkubwa au mdogo? Naomba cheti chako kwanza usije ukawa unanionea tu kwa kuniita dogo!!!!!!
Last edited by a moderator:
ha haa miaka ya 70 masters utambe?Gari ya Babu au yangu hiyo? Niliinunua brand new nilipokuwa nafanya Masters yangu Japan miaka ya mwanzoni miaka 1970s. Nakubuka nilikuwa na miaka kama 28 tuu enzi hizo. Wacha kabisa.
msome kwanza MwanajamiiOne ndo ujilinganishe kama umemfikia huyo...Fixed Point kwani we ni mkubwa au mdogo? Naomba cheti chako kwanza usije ukawa unanionea tu kwa kuniita dogo!!!!!!
Kama huu umri ni wa ukweli inabidi tu nami unipe tu shikamoo yangu.Hahahah huo wa 35 atakuwa Da Mdogo kwangu mamii................. am still standing on 38, no more no less
teh teh tehhhhhh, ulikuwa unasubiri kwa haaamu haya yanikute....Nilijuw kuwa mwisho wake supu itaogeshwa maji ya kisima.
Bora ungetusikiliza....
Nasubirii haki yangu sasa....lol!!
Babu DC!!
wewe nakujua unanionea wivu..... ingawa kimoyomoyo najua unanikubali, lol!Ha ha ha haaaa! Utazipata kwa wengine best, kwangu andika maumivu!
Hahahahahaahah yaani umenichekesha we acha tu wenzio hawataki kukua wewe unataka ukubwa. Sasa Fixed Point umri wako sie wengine tutauthibishaje bwana. Unajua ni vizuri ufuate hisia zako yaani ulivyohisi ni hivyo hivyo hasa hawa uliowa-quote hapo juu. anza tu kuniita dada maana ukitaka kuthibisha kwa cheti cha kuzaliwa siku hizi bongo hAkuna kitu original , cheti chaweza kuchongwa tu my dear .pamoja na kuwa naupenda sana udada mkubwa lakini na mimi nahitaji kuwa na dada ambaye angalau naweza kudeka ninapoamua kuwa mvivu kufikiria...... awe ananitafunia na kuniambia cha kufanya..... akina Mamndenyi, AshaDii, nyumba kubwa, Ablessed, Kongosho?????, Nyamayao ....... yaani nyie nawahisihisi tu kutokana na michango yenu..... mpaka mtakaposubmit vyeti vyenu ndo nitaamini......
hii inawahusu wootee wanaofaa kuwa kaka/dada zangu
narudia tena, vigezo na masharti kuzingatiwa........:help:
Ili asikuchanganye na hayo mambo yake ya kulilia shikamoo, bora uwe best friend tu, ukishindwa hapo bora akuite shemeji mkubwa kwa sababu kishamuweka AshaDii kwenye kundi la madada kutokana na michango yake.msiri wangu mwaJ, unaweza kuniambia kuwa Fixed Point angependa hasa mi niwe nani maana naona hapa sandakalawe? of course kwa ruhusa yako...
ha haaa, basi Ashadii nimemtoa, lol! ngashtuka,Ili asikuchanganye na hayo mambo yake ya kulilia shikamoo, bora uwe best friend tu, ukishindwa hapo bora akuite shemeji mkubwa kwa sababu kishamuweka AshaDii kwenye kundi la madada kutokana na michango yake.
msome kwanza MwanajamiiOne ndo ujilinganishe kama umemfikia huyo...
kama hujamfikia basi anza tu kuangusha hilo lisalamu
ha haaa, asante kwa kuni-warn.... najua kuhusu kuchonga vyeti, EMT alishaleta chake fake hapa nikamtimua nacho.Hahahahahaahah yaani umenichekesha we acha tu wenzio hawataki kukua wewe unataka ukubwa. Sasa Fixed Point umri wako sie wengine tutauthibishaje bwana. Unajua ni vizuri ufuate hisia zako yaani ulivyohisi ni hivyo hivyo hasa hawa uliowa-quote hapo juu. anza tu kuniita dada maana ukitaka kuthibisha kwa cheti cha kuzaliwa siku hizi bongo hAkuna kitu original , cheti chaweza kuchongwa tu my dear .
teh teh tehhhhh, hivi ninavyokuambia uamkie unafikiri natania?daah inamaana MwanajamiiOne ana 38? na wewe nizaidi ya 38? Hata siwaamini kabisaa umri wote huo ni wenu?
ndo maana mimi nimeamua kutafuta hapa rafiki, nahisi raha yake ingawa mimi sijawahi kui-experience.......Fixed Point asikwambie mtu kua na dada au kaka ni raha sana nahisi unakua na wa kukutetea wakati wote na unajisikia una ulinzi wa nguvu.