Natafuta kaka/dada

Natafuta kaka/dada

Hope you will my daughter,
Pata kwanza hao akina dada na kaka
mwishoni utakuwa binti yangu ya hiari kama utaipenda
familia yangu ya kima cha chini.
acha longolongo..... lete cheti......
tena wewe ndo nakutafuta sana maana najitahidi kukusoma hata hueleweki....
labda leo baada ya kuleta majibu ya hechiaivii na Bishanga....
nina hamu ya kuisimamia hiyo ndoa...
cc. Baba V
 
Last edited by a moderator:
Wengine tuna disputed birth certificate kama ya Obama.

Halafu hii ID ya Fixed Point kama vile ilikuwepo enzi za zilipendwa ikaingia mitini halafu imeibuka tena?

Sikujua kama Fixed Point ndiye FP. Labda muda umefika sasa niwaombe Mods wanibadilishie EMT iwe full?

Haya ngoja tuone nani yuko tayari kuwa "fixed" na wewe.

[video=youtube_share;JI-o25K6B-E]http://youtu.be/JI-o25K6B-E[/video]
ha haa mtani hata wewe uliingia chaka kwenye FP?
picha si inasomeka lakini?
mimi ninachohitaji toka kwako ni uthibitisho tu ili angalau nijue kama kuna kaka huku wa kunisaidia kukimbizana na watu kule PM
 
Labda tuwe pacha kama wale warembo wetu waleeeee!
ha haaaa, wale warembo wetu wanaweza kuwa pacha........
mwingine alizaliwa wakati mamake ana 18 years, mwingine mamake akiwa na 30 years....... umeipata hiyo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
@MwanajamiiOne hujambo? Ok...nitwange shikamoo....
Then niache na Fixed Point...ni mdogo wangu kabisa....huna haja ya vigezo wala masharti...!

ha haaaa.... hao ndo dada wakubwa wako?
hapo aliyezidi saaana ana 35..... zaidi ya hapo hakuna.....
kama wanabisha walete vyeti vyao tumalizane

Hahahah huo wa 35 atakuwa Da Mdogo kwangu mamii................. am still standing on 38, no more no less
 
Cheti cha nini amini tu hivyo.

Pole pole ujue
eneo hili napita kwa uangalifu sana.
Bishanga hivi uko wapi twende tukachukua majibu.

acha longolongo..... lete cheti......
tena wewe ndo nakutafuta sana maana najitahidi kukusoma hata hueleweki....
labda leo baada ya kuleta majibu ya hechiaivii na Bishanga....
nina hamu ya kuisimamia hiyo ndoa...
cc. Baba V
 
Last edited by a moderator:
Cheti cha nini amini tu hivyo.

Pole pole ujue
eneo hili napita kwa uangalifu sana.
Bishanga hivi uko wapi twende tukachukua majibu.
mmmh! ujue nipo serious mwenzio....
sisi kule uswazi watu huwa wana madada wa hiari, ndo mimi nimeona nitafutie hapa, kwa hiyo msiniangushe jamani
 
Rafiki mie nitakupitishia gunia la shikamoo nitakapopita weekend hii. Utakuwa unachukua shikamoo hata kumi kwa siku ni pumzi yako tu 🙂🙂 kwa jinsi unavyopenda shikamoo sijui hata kama gunia litamaliza week lol! 🙂 🙂 . Wakishapatikana hao akina kaka/dada nipitishie majina yao nione kama wanastahili kupewa heshima hiyo 🙂🙂 Msikilize Massari.

 
Last edited by a moderator:
Rafiki mie nitakupitishia gunia la shikamoo nitakapopita weekend hii. Utakuwa unachukua shikamoo hata kumi kwa siku ni pumzi yako tu 🙂🙂 kwa jinsi unavyopenda shikamoo sijui hata kama gunia litamaliza week lol! 🙂 🙂 . Wakishapatikana hao akina kaka/dada nipitishie majina yao nione kama wanastahili kupewa heshima hiyo 🙂🙂 Msikilize Massari.


hahaaaa... rafiki wewe lete tu hilo gunia.... nalisubiri kwa hamu...
tena toka kwako litanogaje!
nasikiliza shisha hapa...
thanx
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Shika......hahahahaha lol! utajijuuuuu 🙂🙂



ha haaa, malizia tu rafiki.....
kuwa dogo is not a crime unajua!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Rafiki mie nitakupitishia gunia la shikamoo nitakapopita weekend hii. Utakuwa unachukua shikamoo hata kumi kwa siku ni pumzi yako tu 🙂🙂 kwa jinsi unavyopenda shikamoo sijui hata kama gunia litamaliza week lol! 🙂 🙂 . Wakishapatikana hao akina kaka/dada nipitishie majina yao nione kama wanastahili kupewa heshima hiyo 🙂🙂 Msikilize Massari.


BAK shemeji na mie nidai au?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom