Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
Hahahahahahahahahaa uuuuuuiiiiiiiii Mungu wangu tumbo langu yaani unapokea tu wewe hauitoi sio. Umenikumbusha mbali sana mwaka jana kuna mdada alikuja nyumbani kwetu kulikua na msiba . Mimi huwa siamkii mdada yeyote na hasa akiwa bonge. Huyo dada akaniambia mbona huniamkii nami nikamjibu nikamwambia hata mimi nashangaa kwanini wewe huniamkii, bwana aliponitajia umri nikamwabia samahani maana mimi wabonge huwa siwaaamkii kabisaa mpaka aniambie umri wake yaani hata awe na mtoto wa miaka 20 bado huwa nawagomea kutumia kigezo cha mtoto.