Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #161
nitaenjoy nini? mi sitafuti mtu wa kunileaLkn FP ukubwa si miaka tele, wengine sie wadogo lkn tushakomaa akili. Na kulea pia twaweza. Utaenjoy nakwambia.
nitaenjoy nini? mi sitafuti mtu wa kunileaLkn FP ukubwa si miaka tele, wengine sie wadogo lkn tushakomaa akili. Na kulea pia twaweza. Utaenjoy nakwambia.
ha haaa, fanya selection zako then mimi nitatia baraka....
nisije nikatoka nje ya duara
nachelea kusema nisije BAN iwa lakini my bro nunua verossa!!!!!!
ha haaa, yaani dogo unataka kukagua wakubwa zako?
ngoja waseme wenyewe kama watataka ufanye hiyo kazi
wewe ndo umeharibu maana nzima ya huu uzi....
hivi Mod wa huku ni nani aufunge? sitaruhusu mchango zaidi ya huu wangu......
unafikiri kuamkia watu kunanoga?
mimi nilitaka watu wooote humu ndani waniamkie, sasa sijui umefanya nini?
ningekuwa na fweza ningefufua ile hoja ya EMT ya kwamba ukiwa na fweza unaamkiwa hata na wakubwa, sasa fweza nehi....
Mod mi naomba huu uzi ufungwe tafadhali
Angel Nylon, yaani hadi dakika hii mwenyewe siamini. Sijui nikate rufaa? Unanishaurije Da mdogo wajua inauma...............Duuh nlikua nakuja kifua mbele nkijua nafaa kumbe km Mwanajamiione katolewa nnje mi ndo hata sikaribii haswa. Haya nna, all d best
ha haaa, mtani ndo umekuja kutuonyesha gari la babu yako?
Kaka EMT shikamoo........................ Da Mkubwa Fixed Point, huyu ni Kaka aisee.
unafikiri nakubali kirahisi babu?
labda gfsonwin aje anithibitishie..... yeye namwamini.....
ila hala hala gfsonwin, usipoteze huu uaminifu niliokupa, ole wako upokee rushwa kwa babu....
cc. EMT... wewe nawe nitakubali tu hicho cheti ni cha kweli kama Paw akija kuthibitisha pamoja na King'asti akiwa shahidi, otherwise evidence out....
wewe ndo umeharibu maana nzima ya huu uzi....
hivi Mod wa huku ni nani aufunge? sitaruhusu mchango zaidi ya huu wangu......
unafikiri kuamkia watu kunanoga?
mimi nilitaka watu wooote humu ndani waniamkie, sasa sijui umefanya nini?
ningekuwa na fweza ningefufua ile hoja ya EMT ya kwamba ukiwa na fweza unaamkiwa hata na wakubwa, sasa fweza nehi....
Mod mi naomba huu uzi ufungwe tafadhali
rafiki nimekununia ujue.....hahahahahah!!! sasa mbona umetishika hivyo ilihali hao wote ni wadogo kwako???
mm nimekutania ili kujua umesimamia wapi kumbe basi huna ukubwa wote mnake hao wote niliokutajia ni wadogo kwangu...................seriously.
we mdogo wangu kabisaaaa...... na ninakupenda saaanaaa kama KOKUTONA..... ingawa kamtupa dadake huyu....My dia Fixed Point you can be my sis kama alivyo KOKUTONA
wewe hata ukate rufaa mahakama kuu utakuwa unajisumbua tuAngel Nylon, yaani hadi dakika hii mwenyewe siamini. Sijui nikate rufaa? Unanishaurije Da mdogo wajua inauma...............