Natafuta kaka/dada

Natafuta kaka/dada

Ulivyo king'ang'anizi! Basi jiunge na "shikamoo jazz band" tujue moja! Lol!
ha haaa.... umeona mapendekezo yanajibiwa kwa hoja? lol!
utanishinda basi nikiamua kubishana na kusimamia hoja zangu? mwulize snowhite
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndio maana nikasema Da Mkubwa, kama at 38 bado ni kinda basi sina budi kupiga saluti..........shikamoo dada.
marahabaaa mdogo wangu...
ndo nnachokupendea mdogo wangu wewe... siyo mbishi kabisaaaa.....
kuna dogo anaitwa mwaJ, ni kivumbi
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK


Nakuona umefreeze baada ya kusikia kitu hiki kikiwa angani lol!....hata shikamoo milioni kwa siku hazitakutosha rafiki 🙂 🙂 lol!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:


Nakuona umefreeze baada ya kusikia kitu hiki kikiwa angani lol!....hata shikamoo milioni kwa siku hazitakutosha rafiki 🙂 🙂 lol!

ha haaa, wewe ndo unanidhihirishia kabisaaa unavyostahili kuniamkia, marahabaaaa hujambo mdogo wangu?
hizi enzi zetu hazikuwepo
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
basi si utakuwa unanifulia uniform za shule eeeh maana jana nilicheza kwenye vumbi
usijali.....
utakuwa unafua kutoa vumbi mimi namalizia kung'arisha, maana sasa umeshafikia umri wa kukufundisha kufua
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mimi ninachohitaji toka kwako ni uthibitisho tu ili angalau nijue kama kuna kaka huku wa kunisaidia kukimbizana na watu kule PM

Nimeattach certificate yangu hapo chini na imedhibitishwa na Paw kuwa siyo feki.


attachment.php
 

Attachments

  • EMT birth certificate.PNG
    EMT birth certificate.PNG
    83.5 KB · Views: 64
lol!!!! Hahahahaha mie mbavu sina 🙂🙂 Nimeiangalia tena BC yako mmhhhhh! Wapenda ukubwa weye!!!!

ha haaa, wewe ndo unanidhihirishia kabisaaa unavyostahili kuniamkia, marahabaaaa hujambo mdogo wangu?
hizi enzi zetu hazikuwepo
 
Nimeattach certificate yangu hapo chini na imedhibitishwa na Paw kuwa siyo feki.


attachment.php
kwi kwi kwiiiii... watu wanaupenda ukubwa jamaniiii...
shida yote hii ya nini mtani?
wewe kubali tu kuniamkia yaishe kimya kimya
yaani umeenda extra mile hadi ukam-bribe Paw? hii ni unacceptable..... lazima wadau wa jf ujue...
cc. Invisible, Mike McKee, Maxence Melo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom