Jamani huku matangazo mengi sana ya kutafuta mke/mume/mpenzi yamezidi.....
mimi nakuja kiroho safi kabisa kutafuta dada/kaka angalau na mimi nipate wa kumkimbilia kukitokea mabounsa....
nina uhakika nina wadogo zangu wengi sana huku....
snowhite,
cacico,
Kaunga,
Zion Daughter,
Dena Amsi,
Mwali,
Erickb52,
C6 Young Master,
mwaJ (hapa ngumi zikitokea tusaidiane),
sister,
Madame B,
Kipipi,
KOKUTONA,
lara 1,
amu,
Lady doctor,
Passion Lady,
dada white,
ladyfurahia,
Arabela,
Chocs,
mimisa,
Heaven on earth,
MwanajamiiOne,
FirstLady1,
charminglady,
Nicas Mtei,
Katavi,
Mphamvu,
bombom,
Tized,
Mentor,
Arushaone (teh teh tehhhh),
gfsonwin,
Paloma..... na wengine wengi tu.
pia nina pacha wangu
Nivea... na binamu
Jiwe Linaloishi, wifi na mdogo wangu
Preta
kwa wale wooote ambao wanahisi wanaweza kuwa kaka/dada zangu wajitokeze. vigezo na masharti kuzingatiwa (uwakilishaji wa birth certificate unahusika hapa).
cc.
mwaJ (kama kweli unataka kuepuka kuniamkia huu ndo muda wako),
Dark City.....
BAK.... (jana nimekuambia uniamkie ukasepa.... leo nataka kujua kama kweli na-deserve li-shikamoo toka kwako ama la)....
The Boss...
Nyani Ngabu....
MziziMkavu, mtani wangu
watu8, kama nashindwa kuwasoma vile.....
huyu mkwe
Asprin na ma-ODM wenzake
Kaizer,
KakaKiiza,
Mtambuzi,
EMT,
Bishanga (mmmhhhh!!!),
RR nasubiria vyeti vyao ili nijue niwaweke upande gani.... maana kama hawasomeki vile.....
pamoja na kuwa naupenda sana udada mkubwa lakini na mimi nahitaji kuwa na dada ambaye angalau naweza kudeka ninapoamua kuwa mvivu kufikiria...... awe ananitafunia na kuniambia cha kufanya..... akina
Mamndenyi,
AshaDii,
nyumba kubwa,
Ablessed,
Kongosho?????,
Nyamayao ....... yaani nyie nawahisihisi tu kutokana na michango yenu..... mpaka mtakaposubmit vyeti vyenu ndo nitaamini......
hii inawahusu wootee wanaofaa kuwa kaka/dada zangu
narudia tena, vigezo na masharti kuzingatiwa........:help: