muda ukifika utaomba mkuu then interview ukipita karibu sana.
But lazima kiwe na jina piaachana na jina. uza mafuta bei rahisi
Hiki nipo UsagaraNdiyo kinachojengwa Kishiri?
Hiyo 'Mo' ukiitoa linaweza kikufaa though najua hiyo 'Mo' inasimama kama motor.Hili vipi wakuu " Drive-Mo Oil" Service Station.
Katika biashara unatakiwa kuwa mtata kidogo ili upate wateja kwa wingi....ukitumia hili jina wateja watakuja kwa wingi kutaka kujuwa kwa nini unaingiza kisha unatoa, ni nini hiyo?sio hili limekaa kihuni sana mkuu?
Katika biashara unatakiwa kuwa mtata kidogo ili upate wateja kwa wingi....ukitumia hili jina wateja watakuja kwa wingi kutaka kujuwa kwa nini unaingiza kisha unatoa, ni nini hiyo?