kabingo
Senior Member
- Oct 16, 2015
- 115
- 118
Angalia hiyo hiyo nusu inayoonekana vizuri.Nimeenda kumuona huyu fundi, kaicheki kasema screen imeshakufa ni ya kubadilisha. Bei ya screen ni nusu ya Tv mpya kwahio naona bora ninunue ingine tu.
Angalia hiyo hiyo nusu inayoonekana vizuri.Nimeenda kumuona huyu fundi, kaicheki kasema screen imeshakufa ni ya kubadilisha. Bei ya screen ni nusu ya Tv mpya kwahio naona bora ninunue ingine tu.
Tatizo ni ile sumaku ya kwenye speaker we chukua sumaku pitisha kwenye TV utaona kitakachotokea.Mkuu zikiwa kimnya bila ya kuwashwa pia ni shida?.
Kweli afanye hivyo kwani yangu ilikuwa kama yake lakini nikakomaa nayo kuiangalia mpaka mistari ikaondoka ingawa ilijiondoa kwenye mode ya 3D na kuwa ya kawaida.Angalia hiyo hiyo nusu inayoonekana vizuri.
Hivi ukichomeka USB Flash ukaangalia picha zilizomo ndani yake hiyo mistari inaonekana?
Tv ni screen so bei yake lazima ive zaidi ya nusu ya kununua tv. Kumbuka pia spear za vitu kama hiv ni bei mbyaNimeenda kumuona huyu fundi, kaicheki kasema screen imeshakufa ni ya kubadilisha. Bei ya screen ni nusu ya Tv mpya kwahio naona bora ninunue ingine tu.
Wakati 750000 unapata lg 43" mpya ya 2016; karibu mkuu kama hutojali500,000/-
Wapi unapatakinika? Lg yako ina guatantee? Kama ipo ya muda gani?Wakati 750000 unapata lg 43" mpya ya 2016; karibu mkuu kama hutojali
Vioo vinauzwa wapi? Hawa mafundi wameniona mimi wa kishua sijui? Wananiambia kioo 500,000-650,000.hata mie tv yangu samsung inaonyesha mistari kwa juu ukiiwasha mwanzon inakua clear kabisa afu baada ya dakika mbili hivi mistar inaanza kwa juu yaan humuoni mtu kuanzia nywele hadi macho fundi ameniambia ni kioo na kkoo vinauzwa laki3 na nusu na if undies ni elfu 30.
Allen Mende, aulizie kwa mchonga funguo za magari maarufu kwa jina la dan0715921194 Huyu ndo fundi wangu yuko komakoma mwananyamala anaitwa allen
Tupo mtendeni zanzibar ukitaka ntakuletea hadi huko uliko, na ina warranty ndioWapi unapatakinika? Lg yako ina guatantee? Kama ipo ya muda gani?
Mkuu naomba na bei ya LG smart TV.. same size.. na usafiri mpaka Dar inakuwaje?Tupo mtendeni zanzibar ukitaka ntakuletea hadi huko uliko, na ina warranty ndio
Ok, asante.Tatizo ni ile sumaku ya kwenye speaker we chukua sumaku pitisha kwenye TV utaona kitakachotokea.
1.2mMkuu naomba na bei ya LG smart TV.. same size.. na usafiri mpaka Dar inakuwaje?
Na mimi tv yangu size 42 samsung wameniambia kioo laki 6 pamoja na ufundi elfu 50. Ngachoka.. January hiiVioo vinauzwa wapi? Hawa mafundi wameniona mimi wa kishua sijui? Wananiambia kioo 500,000-650,000.