Natafuta Fundi Wa LED Tv

Natafuta Fundi Wa LED Tv

Wanasema vioo vipo kariakoo, ila nimefikiria nimeona ninunue tu ingine kwanza halafu hii ndio nitaamua baadae niifanyie nini.

Experience yangu na mafundi wetu anakwambia tatizo ni A ukileta A kitu hakifanyi kazi anakwambia hapa tubadili na B.

Nilifikiri yangu ina loose connection somewhere ila mafundi wawili wamesema ni kioo hio imenishawishi ninunue ingine.
Duh... nitaenda kesho nijaribu kuwa naulizia hizo vioo nione nitaambiwaje...
kununua mpya kwa sasa sina hata huo uwezo..

Thank you kwa advise RRONDO
 
mie ya kwangu imegonga mahala kwenye purukushani screen imeweka crack haionyeshi nimedata kwakweli. yaani hapa nawasha nakutana na mistari nimechoka mwili na akili

hivi naweza pata kioo nikabadilishiwa yaani

Natamani ningejua hiyo purukushani ilikuwa inahusu nini!
 
Usinunue semegi,tumia hiyo hiyo, si uliuelewa mpira lakini?
Ahaa sasa nimekujua. Sitanunua ili nipate kisingizio cha kutoka na kumwacha mdogo wako.
 
Nilipata tatizo kama hilo bahati nzuri TV bado ilikuwa na garantee jamaa walinibadilishia wakanipa nyingine
Hii imekula kwangu ina 2yrs plus. Warranty nilikuwa nayo ya manufacturer 12 months siku extend.
 
Habari wana jamvi.

Natafuta fundi mzuri na anaejielewa wa LED tv yangu. Ina miaka miwili na ushee ghafla juzi imeanza kuonesha nusu screen mistari chenga chenga na nusu ingine inaonesha clear kabisa.

Anaemjua fundi mzuri, kwa hapa Dar hasa maeneo ya kuanzia kinondoni,mwenge,makumbusho,sinza,magomeni,msasani anijulishe. Sio mbaya hata wa maeneo mengine nikikosa itabidi nimfuate, tafadhali niwekee contacts zake.

875ad109_vbattach219511.jpeg
Mbona imependeza tu mkuu.
 
Habari wana jamvi.

Natafuta fundi mzuri na anaejielewa wa LED tv yangu. Ina miaka miwili na ushee ghafla juzi imeanza kuonesha nusu screen mistari chenga chenga na nusu ingine inaonesha clear kabisa.

Anaemjua fundi mzuri, kwa hapa Dar hasa maeneo ya kuanzia kinondoni,mwenge,makumbusho,sinza,magomeni,msasani anijulishe. Sio mbaya hata wa maeneo mengine nikikosa itabidi nimfuate, tafadhali niwekee contacts zake.

875ad109_vbattach219511.jpeg
mkuu kwa haraka kabisa shida hapo ni kioo .tv yako na pesa pia yako kama unaweza na huitaji kelele na mtu nunua kioo fungua hiyo tv mwanzo mwisho mwenyewe na uibadili kioo.

harafu hii tv utengenezaji wake ni rahisi sana ni mwendo wa kutoa kitu weka kitu.mchina karahisisha sana siku hizi hata kama kuna ic au diode imekufa kwenye power supply mafundi hawapati shida ni mwendo wa kutoa na kuweka nyingine
 
Wakuu, mie nauliza... je kuna 'Polish-Spray' specifically for Tv?

Au ile polish spray for laptop inaweza pia kusafishia Tv? nataka kusafisha TV screen & housing yake.

cc: RRONDO

-Kaveli-
 
Wakuu, mie nauliza... je kuna 'Polish-Spray' specifically for Tv?

Au ile polish spray for laptop inaweza pia kusafishia Tv? nataka kusafisha TV screen & housing yake.

cc: RRONDO

-Kaveli-
Hilo hata mimi sina idea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom