Ladislaus dominic
Member
- Dec 14, 2016
- 13
- 9
Ili unalazimishwa kula kwa king,, checkers online upo huru,, ila unachagua "spain"Sijajua jinsi ya kushare link kwenye simu. Ila linaonekana hivi. Kwenye play store.
View attachment 506390
Ili unalazimishwa kula kwa king,, checkers online upo huru,, ila unachagua "spain"Sijajua jinsi ya kushare link kwenye simu. Ila linaonekana hivi. Kwenye play store.
View attachment 506390
Tafuta checkers ya hispanish ndio sawa na la kibongo ambalo king anafly bila mabawaWamarekani draught wanaits checker. Ninalo moja king anaenda hatua mojamoja. Pia humo kuna la kirusi, kiingereza, kibrazil etc. Ila hakuna kama hili tunalocheza bongo. Hilo uliloliona liko kama tunalocheza bongo?
Wewe hujui Draft la Bongo. Hilo la Spain Ubao umegeuzwa na pia unalazimishwa kula kete nyingi zaidi.Tafuta checkers ya hispanish ndio sawa na la kibongo ambalo king anafly bila mabawa
Kumuelewesha chizi utajipa kazi na kukuta unatandikia watu jamvi.
Naona umeniibia nguo zangu, sasa ngoja nichutame.Kwahyo hapa nakuelewesha wewe chizi
hilo draft gumu kucheza dah silisahau ukimfunga mara tatu humfungi tenaNnalo lile la kirussia unacheza na mdada mkaliiii ukimfunga anavua nguo, akikufunga anavaa
Kufananisha chess na draft nisawa na kumfananisha Nyerere na Magufuli, respectively.Unachanganya mambo mkuu.
Chess na draft ni tofauti kabisa.
Hapana ni kama Farasi na Punda.Kufananisha chess na draft nisawa na kumfananisha Nyerere na Magufuli, respectively.

Angalau farasi na punda wakokatika one biological family ya equidae.Hapana ni kama Farasi na Punda.![]()
![]()
tumtu kwa kukosoa..Na wewe umechemka ni drought siyo draft
tumtu kwa kukosoa..
Tulia BroYa kweli kabisa hata Master unamfunga kilaini.ni kama la kibongo ila halijui kucheza hata kidogo.
Mkuu id yangu kwenye checkers elite ni "MAN FROM TANZANIA" nipe yako tuwe tunachangamsha akili mara moja moja, wazungu ukiwabana wanakimbia bila kumaliza game.Natamani ningejua id yako kwenye checkers elite tucheze online ili ujue nachezaga rede au rege, mm nimecomment game ambayo umepost picha yake kuwa hujui kucheza maana kete zimekaa hovyo, Endelea kupanic cuz hujui kucheza checkers, jaribu mdako