Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
umfundishe na mkeo practical tuliyo fanya
Last edited by a moderator:
Mie mzima daddy dearest Nobel husbands prize winner, nasikitishwa tu na Arusha yetuHaswa mpenzi wangu, nitaongea na kijana wetu ili kujua kama yupo tayari kubeba haya majukumu...maana umri ndio huo waenda...
Btw mzima weye darling wangu...
Karibu uchagani kuna utulivu jirani ni PMHii guys.....natafuta mwenza wa humu ndani mie sio mwenyeji sana..
Mie ni binti mrembo tuu kutokea Rchuga...
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Waweza kunitambua hapo@masai gelView attachment 98621
Mie mzima daddy dearest Nobel husbands prize winner, nasikitishwa tu na Arusha yetu
tusio na ma hubby hum ndani tuna kazi Lady doctor hebu niletee japo one of your patient nikusaidie
pole pole ma dia..umu mbna ma singo na wenye saccos ni wengi tu..kazi kwako kuchagua
mi si ndo nilianza kumchagua mwananthropolojia kumbe tayari yuko occupied
manoah baridi ikiwa kali sana nayo sio nzuri sana haswa ikifikia kama ile ya wenzetu ambapo ni below zero degree hapo hapanamie napenda sana baridi aise, na nina mpango wa kuhamia sehemu yenye baridi kali sana hapa Duniani mkuu! Mr Rocky ila hapo safi kwa suti sio kama sehemu zingine.