Ewaaaa... hebu mwambie huyu dogo afuate protocol
Acha utoto bana, ushakuwa mtu mzima sasa!!
Asprin haki ya chit chat hapa inabidi niapply cheo kipya humu cha ukaguzi
mwenyekiti Baba V tunaomba atangaze nafasi upya za kufanya ukaguzi
Maana umeona mpaka Lady doctor nae anataka kutukagua wanaume ujue cheo hicho kilivyo kizuri
Lady doctor sema tulikaguana bana kwani si kila mtu alimkagua mwenzake usiku kuchambona unarudi nyuma wewe? Sema mpaka Lady doctor ame shatukagua'' sio nataka kuwakagua alaah!
Lady doctor sema tulikaguana bana kwani si kila mtu alimkagua mwenzake usiku kucha