Natafuta couple chit chat

Natafuta couple chit chat

Naomba unisaidie nisije kutapeliwa humu ndani mwaya sitaki mwanaume wa mtuu

Waoooo nimepata nimpendae karibu mama nitakuporomoshea maporomoko ya upendo nitakulinda na mafisadi ote wa mapenzi
 
Haswa mpenzi wangu, nitaongea na kijana wetu ili kujua kama yupo tayari kubeba haya majukumu...maana umri ndio huo waenda...
Btw mzima weye darling wangu...

Darling naona hapa kijana wetu Davie S. M anaweza kutuletea mwali, huyu masai gel natumaini ni binti mnyenyekevu aliyepata maadili mema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom