Natafuta couple chit chat

Natafuta couple chit chat

huku wote washawahiwa... umechelewa wapi masai gelo!!?
 
Kama yeye ni mmaasai si ina maana huo umaasai kautoa kwa daddy yake...shemegi vipi tena bhana!!!

hehehehe!!! nyie ndio mnaojipaka maziwa ya ng'ombe!!!? khaaa!!! dada yangu kapata hasara.
 
Madam B asante mwaya ingawa ye mwenyeewe hajakubali..
 
Last edited by a moderator:
Haya wale wenye vining'inio washa...mchuchu ndio huyo kajilengesha...kazi ni kwenu!!!

Darling naona hapa kijana wetu Davie S. M anaweza kutuletea mwali, huyu masai gel natumaini ni binti mnyenyekevu aliyepata maadili mema
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom