Ww ndo hujaelewa hii n ajira ya aina gan, yaan ajira kama hiz lazma uishi kwenu na uish karib na eneo la kaz. Hayo maelezo yako ni level za juu kulinganisha na kaz hii. Kuna watu wanafanya kazi zaid ya huo mda na malipo n hayohayo.Mkuu japo umejitetea na operation cost lakini ukweli kwa maisha ya Dar pesa yako bado ni ndogo! Maana unasema mfanyakazi wako anaanza kazi saa 1 asubuhi na kumaliza saa 7.
Hii manake anafanya kazi kuanzia asubuhi mpaka mchana! Offa zako umesma nje ya mshahara atapata chakula cha asubuhi, hii mana yake mchana na usiku gharama za chakula ni zake mwenyewe! Je kwa malipo hayo ya elf tatu anaishije kumbe?
Si itakuwa inaishia tu kwenye mlo wa mcha na usiku? Vipi kuhusu nauli yake ya kumleta na kumrudisha kazini everyday? Vipi kuhusu pesa ya sabuni ya kufungulia nguo zake maana unadhifu nao ni muhimu kwa mama ntilie, hata kama anavaa zile uniform na kofia lazima kuzifua kila wakati! Je kwa hiyo 3k ataweza kweli? Na kama kila siku unamlipa hiyo buk 3 means mwisho wa mwezi hana chake, Je akiugua upo tayari kumgharamia matibabu?
Mshahara wako unakaba kwa kila namna, mi binafs nashauri kama haiwezekani kuongeza japo ikafika buk5, basi fanya kumpa hifadhi ukae nae ili apate milo yote 3 kwako, alafu mkubaliane mshara hata ukipunguza mpaka 50k kwa mwezi ni nafuu kuliko hali hiyo ni ngumu, nina uhakika hata ukimpata hatodumu ataacha tu maana kama anaishi amepanga nyumba, kwa mshahara huo hawezilipa kodi ya nyumba!
Na kama anaishi kwao ni lazima watambana atoe pesa ya mahitaji nyumbani maana mabint wa nature hiyo hata makwao huwa hawajiwezi kiuchumi hivyo unawezakuta yeye ndo akawa tegemeo wa familia na mshahara wa buku 3 kwa siku!
Labda kama hujawahi kuzunguka mtaani kutafuta dayworker.