Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

Nimeulizia hapa naambiwa wanalipwa 110,000 per month na nyongeza ya 1000 kwa kila saa unayoongeza,na inategemea pia na kitengo ulichofanya

Wanaingia saa 2 asubuhi-11jioni
Duh hali siyo hali
Hapana mkuu, kuingia saa 2 asubuhi kutoka saa 11 jioni, Overtime haifiki 1000 kwa saa, nimefanya hapo, mshahara elfu 90, siku saba za mwanzo unafanya bure bila kupewa kitu, ukiambiwa ufanye na Overtime, utafanya mpaka saa tatu, niliwahi kufanya hapo kwa miezi miwili wakati naseti mipango yangu
 
Daah pale ubungo external mshahara elfu 90 kwa mwezi, full kutukanwa na wachina, marufuku kutumia simu masaa ya kazi, daah nilifanya pale wakati nasubiria matokeo yangu ya kidato cha nne miaka ya nyuma sana, umenenea vyema Room 106
Mnafungwa kamba msiondoke?kama watu wananwatesa wenzao haimaanishi huyu anayeomba mfanyakazi tusimuambie ukweli,hao wachina hawakuja kuomba mfanyakazi humu ndio maana hatujawaambia ukweli.Akaajiri dadaake!
 
Masaa 6 unalipwa elfu 3.

Halafu ukiangalia hii kazi anaweza pata uzoefu akaja kujiajiri kama mama ntilie.

Wasomi na Degee zao wanajitolea mwaka mzima kwa malipo ya chai na lunch.

Paza sauti na huko mkuu
na mbali na hapo kama ni bint wa kujituma anaweza fanya kazi mbili kwa siku,, mfano mm nina sehem ya matunda biashara inaanza jioni mpka saa 5 usiku inamaana huyu binti anauwezo wa kumaliza huo mchana , akapumzika jioni akaenda kwenye kazi ingine inayofanania na yangu,
 
na mbali na hapo kama ni bint wa kujituma anaweza fanya kazi mbili kwa siku,, mfano mm nina sehem ya matunda biashara inaanza jioni mpka saa 5 usiku inamaana huyu binti anauwezo wa kumaliza huo mchana , akapumzika jioni akaenda kwenye kazi ingine inayofanania na yangu,
I miss you nima.
Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya njema kwa kweli
 
Sio gubu,3000 per day,angesema bila kupika chapati ni sawa,hv unajua chapati kuandaa ule unga kila siku baada ya muda hayo maumivu ya kifua si mchezo
ni mwanzo tu lkn...ni suala la muda lazima azingatie suala zima la mapato na faida kwa ujumla, au mwenzetu una experience na hizi biashara especially maeneo hayo pengine unafahamu faida atakayopata mtu kwa siku za mwanzoni kwa mtaji mdogo kabisa kwa makadirio? maana sometymz unaweza jikuta bosi anaambulia hasara ila mfanyakazi ananufaika na hyo hyo buku3 kwa maana yy anarudisha gharama zake kwanza na ndio maana mm binafsi naamn zaidi ktk makubaliano ya namna hyo kwa mfanyakazi asiye na uelewa wa mzunguko wa biashara (mgeni) eneo husika kuliko kulipana kwa asilimia
 
ni mwanzo tu lkn...ni suala la muda lazima azingatie suala zima la mapato na faida kwa ujumla, au mwenzetu una experience na hizi biashara especially maeneo hayo pengine unafahamu faida atakayopata mtu kwa siku za mwanzoni kwa mtaji mdogo kabisa kwa makadirio? maana sometymz unaweza jikuta bosi anaambulia hasara ila mfanyakazi ananufaika na hyo hyo buku3 kwa maana yy anarudisha gharama zake kwanza na ndio maana mm binafsi naamn zaidi ktk makubaliano ya namna hyo kwa mfanyakazi asiye na uelewa wa mzunguko wa biashara (mgeni) eneo husika kuliko kulipana kwa asilimia
Nafanya hii biashara ndio maana naongea kwa uzoefu wangu,
 
Daah pale ubungo external mshahara elfu 90 kwa mwezi, full kutukanwa na wachina, marufuku kutumia simu masaa ya kazi, daah nilifanya pale wakati nasubiria matokeo yangu ya kidato cha nne miaka ya nyuma sana,
Umeshasema miaka ya nyuma sana (tuna assume more than 10 years ago)
Unadhani bado hali ni ileile? Lazima kuna improvement jombaa
 
Iyo buku tatu ni matusi makubwa Kwa wasaka ajira, hulazimishwi uongeze mshahara, lakini kama biashara yako ipo kwenye uwezo wa kumlipa mtu buku3 basi hujafikia hadhi ya kuajiri mtu,
mwambie ata mume wako akitoka Mishe zake anapitia hapo kijiweni anasaidia shughuli ndogondogo za hapo kama una watoto wakitoka shule wanakuja kuosha vyombo maisha yanaendele.

Na ukipata mtu kakubali huo mshara wa buku3 muogope sana lazima atakuja kukuliza.
 
Back
Top Bottom