Kuna mdada kutoka mwananchi hapo karibu kanipigia sim atakuja tu nenda rudi kwa mguuNashauri tafuta mdada wa eneo la huko ili kazini aje kwa mguu
Usafiri dar una cost sana itakuwa mgumu ukipata mdada wa mbali...
hahaaaaaaa samahani hapa manara aliingiaje................yaani nimecheka hahaaaaEeh sawa haji manara
Unataka awe kivutio kwenye biashara yako? Mwsho apigwe dushe aachwe single mazaMama ntilie na watu wa bar huwa wanahitaji mabinti kwa sababu nyingi tu.
Nadhani wanaume wanaelewa hili kwa kirefu..
Karibu supu kongoro mixer karafuu
nimegundua watu wengi humu wanamisha mazuri....agesema anhitaji mwanaume hii kazi hata mimi ningefanya kulingana na hesabu zangu.....Kiwanda cha MMI Steel kinawalipa vibarua wake 3500/=per day ,kazi ni masaa 12,nashangaa mnaomkejeli mleta mada.
Ishia hapo kwenye kivutioUnataka awe kivutio kweny biashara yako? Mwsho apigwe dushe aachwe single maza
Naomba namba zako pm mkuuDuh, kweli bongo maisha ni magumu.
Mshahara 3000?
Wacha nichimbe madini tu.
Mleta uzi huu ushauri hujauona ama??Mkuu japo umejitetea na operation cost lakini ukweli kwa maisha ya Dar pesa yako bado ni ndogo! Maana unasema mfanyakazi wako anaanza kazi saa 1 asubuhi na kumaliza saa 7.
Hii manake anafanya kazi kuanzia asubuhi mpaka mchana! Offa zako umesma nje ya mshahara atapata chakula cha asubuhi, hii mana yake mchana na usiku gharama za chakula ni zake mwenyewe! Je kwa malipo hayo ya elf tatu anaishije kumbe?
Si itakuwa inaishia tu kwenye mlo wa mcha na usiku? Vipi kuhusu nauli yake ya kumleta na kumrudisha kazini everyday? Vipi kuhusu pesa ya sabuni ya kufungulia nguo zake maana unadhifu nao ni muhimu kwa mama ntilie, hata kama anavaa zile uniform na kofia lazima kuzifua kila wakati! Je kwa hiyo 3k ataweza kweli? Na kama kila siku unamlipa hiyo buk 3 means mwisho wa mwezi hana chake, Je akiugua upo tayari kumgharamia matibabu?
Mshahara wako unakaba kwa kila namna, mi binafs nashauri kama haiwezekani kuongeza japo ikafika buk5, basi fanya kumpa hifadhi ukae nae ili apate milo yote 3 kwako, alafu mkubaliane mshara hata ukipunguza mpaka 50k kwa mwezi ni nafuu kuliko hali hiyo ni ngumu, nina uhakika hata ukimpata hatodumu ataacha tu maana kama anaishi amepanga nyumba, kwa mshahara huo hawezilipa kodi ya nyumba!
Na kama anaishi kwao ni lazima watambana atoe pesa ya mahitaji nyumbani maana mabint wa nature hiyo hata makwao huwa hawajiwezi kiuchumi hivyo unawezakuta yeye ndo akawa tegemeo wa familia na mshahara wa buku 3 kwa siku!
Naomba namba zako pm mkuu
Ni mzuri ntaufanyia kaz biashara ikikua kwa sasa nalinda mtaji na faidaMleta uzi huu ushauri hujauona ama??
Hapo elimu ni ya hapa na pale tu inatosha kwa sifa alizotajaElimu mbona hujaweka...
Elimu mbona hujaweka...
Iweke weweElimu mbona hujaweka...
Nimeulizia hapa naambiwa wanalipwa 110,000 per month na nyongeza ya 1000 kwa kila saa unayoongeza,na inategemea pia na kitengo ulichofanyaJf ina vijana wa ajabu sana, mbona hamsemei mishahara ya viwandani huko watu wanafanya kazi masaa 12 kwa elfu 4? Chakula juu yao!
Nendeni hapo ubungo external mkaone nyomi ile ndo mje hapa kukashifu ajira nyingine..
Umeona eeh. Kuna raia zaidi ya elfu 1 wanaingia humo daily na hawachoki wala kulalamika.Nimeulizia hapa naambiwa wanalipwa 110,000 per month na nyongeza ya 1000 kwa kila saa unayoongeza,na inategemea pia na kitengo ulichofanya
Wanaingia saa 2 asubuhi-11jioni
Duh hali siyo hali
Usitishe watu wewe, mshahara huo unakufanya usijiamini ndio maana unasema tupunguze kejeli. Kama unaona mshahara huo ni mzuri na haupaswi kuchalenjiwa fanya kazi yako mwenyewe,amka asubui mpaka saa 7 uchukue 3000/ yako.Hello Jf
Binti wa kazi anatafutwa.
Sifa
1. Ajue kupika chapati
2. Awe na Lugha nzuri kwa wateja na mchangamfu
3. Ajue hesabu
4. Awe anajua kuhudumia vizuri
Kazi ni ya mama ntilie, kuuza supu na chapati
Mshahara ni 3000 kwa siku, nyongeza utajadiliana na boss wako.
Chakula utapata hapo hapo asubuhi.
Kazi inaanza saa 1 asubuhi mwisho saa saba
Piga simu 0744033555
Tupunguze comment za kejeli, ukiona mshahara mdogo endelea na mishe zako.u
Masaa 6 unalipwa elfu 3.Usitishe watu wewe,mshahara huo unakufanya usijiamini ndio maana unasema tupunguze kejeli.Kama unaona mshahara huo ni mzuri na haupaswi kuchalenjiwa fanya kazi yako mwenyewe,amka asubui mpaka saa 7 uchukue 3000/ yako.