Hello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam- Kigamboni- Kisarawe 2.
NB: Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.
Asanteni.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam- Kigamboni- Kisarawe 2.
NB: Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.
Asanteni.