adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,479
- 33,514
Huyu Busu la Kenge naomba waniachie Mimi maana napenda battles na watu wanaojichetua , tayari mpaka sasa nimeshamsababishia harasa kwa ID zake za Zamani hata marafiki zake na ndugu zake wanamtafuta hawajui kichaka chake kipya .Ni mkristo sema anaufanyia mzaha uislamu kwa kujifanya shia.
Sasa hiki nataka nikizime kikatili nataka aje na kichaka Kingine Busu la Nguruwe , steps ya kwanza sasa nyuzi zake za ujinga zipo under my surveillance nazihujumu zinafutwa sasa nasubiri Angie kwenye mtego wa kumpoteza mazima kama vilivyopotea vichaka vyake vya Zamani.