Natafuta binti Salaf wa kuoa

Natafuta binti Salaf wa kuoa

Busu la Kenge ni product ya Ghayos Gang ambayo inajumlisha members kama Maghayo , The Mongolian Savage , the stress Challengerr nk hapo nyani mmoja misitu tofauti .

Nilianzisha vita nae na kuunguza vichaka vyote niliianza na vidogo Kisha nikamiliza kubwa la maadui Maghayo The Great Barbarian , na aliingia kwenye 19 zangu akajaa vizuri zimepewa permanent Ban akawa Jf anaichungukia tu hawezi kufanya chochote ndio sasa kimekuja kichaka kipya Busu la Kenge lakini nyani yule yule from Ghayos Family.

Cc : Mrs none
Sijaewa chochote
 
NATAFUTA BINTI WA KUOA.

Email yangu
natafutamke872@gmail.com

Dini: Muislamu naitakidi na kufuata manhaj salafi

Urefu: 158 cm

Umri: 30

Kazi/kipato. Namshukuru Allah napata rizki kiasi cha kumudu majukumu ya ndoa.

Makazi: Mara nyingi napatikana Dar es Salaam na mikoa ya jirani.

Elimu ya Dini: Najifunza na naendelea kujifunza masomo ya kidini, pia nimehifadhi sehemu ktk Qur’ān.

MIONGONI MWA SIFA NINAZOTAKA KWA MWENZA

Muislamah anayefuata manhaj ya Salaf, mwenye maadili na tabia njema, stara, na mcha Mungu.

Mwenye mapenzi ya dhati na atayeweza kudumisha upendo ndani ya ndoa.

Awe na tabia ya uwazi na ukweli.

Umri: kuanzia miaka 18 hadi 26. Nje ya range tunaweza pia kuzungumza

Elimu: angalau kiwango cha kidato cha nne au zaidi. Mimi nimezid zaid ya hapo.

Urefu: sawa na wangu au chini kidogo, au juu yangu kama atapenda.

Mwonekano: Mrembo, mwenye umbo zuri(shape), rangi ya ngozi maji ya kunde au mweupe.

Anayejitahidi kuheshimu mipaka ya kisheria.

Ikiwa ana mtoto, basi awe ni mjane (mume alifariki dunia).

Mtu mwenye mawazo chanya, anayependa mashauriano ili changamoto zitatuliwe kwa njia bora.


Maelekezo ya Mawasiliano:
Atakayevutiwa na wasifu huu awashirikishe watu wa nyumbani kwake (walii/wake) ili tufanye mawasiliano kwa uwazi na staha.

Na anitumie wasifu wake pia kwa njia ya email.
natafutamke872@gmail.com
Kila la kheri mkuu
 
"Ikiwa ana mtoto, basi awe ni mjane (mume alifariki dunia)."💪💪💪💪💪💪💪💪
Point muhimu sana hii kwangu.
 
Sufy ni waisilamu pia ila wana hii changamoto ya kuzua kwajili ya dini ambayo ni upotovu ila haiwakufurishi(kuwatoakweyeuisilamu) ambayo hii iko wazi kila mwenye kuzua kwenye dini ni mpotevu na km atakufa na hali hii akiwa anaendeleza uzushi atakutana na adhabu yake
Sufi ndo hawa bakwata? au
 
Inategemea ila km unauendea uisilamu kwa mafundisho ya quran na sunnah kwa kufuata mafundisho ya dini kupitia wema walio tangulia na unajiepisha na mambo ya kuzushwa ktk dini wewe ni Salafy ila km wewe ni Muisilamu wa dufu,khitima,kudhikiri na maulidi basi ni sufy
Bas mm ni salafy:AMOGUS:
 
NATAFUTA BINTI WA KUOA.

Email yangu
natafutamke872@gmail.com

Dini: Muislamu naitakidi na kufuata manhaj salafi

Urefu: 158 cm

Umri: 30

Kazi/kipato. Namshukuru Allah napata rizki kiasi cha kumudu majukumu ya ndoa.

Makazi: Mara nyingi napatikana Dar es Salaam na mikoa ya jirani.

Elimu ya Dini: Najifunza na naendelea kujifunza masomo ya kidini, pia nimehifadhi sehemu ktk Qur’ān.

MIONGONI MWA SIFA NINAZOTAKA KWA MWENZA

Muislamah anayefuata manhaj ya Salaf, mwenye maadili na tabia njema, stara, na mcha Mungu.

Mwenye mapenzi ya dhati na atayeweza kudumisha upendo ndani ya ndoa.

Awe na tabia ya uwazi na ukweli.

Umri: kuanzia miaka 18 hadi 26. Nje ya range tunaweza pia kuzungumza

Elimu: angalau kiwango cha kidato cha nne au zaidi. Mimi nimezid zaid ya hapo.

Urefu: sawa na wangu au chini kidogo, au juu yangu kama atapenda.

Mwonekano: Mrembo, mwenye umbo zuri(shape), rangi ya ngozi maji ya kunde au mweupe.

Anayejitahidi kuheshimu mipaka ya kisheria.

Ikiwa ana mtoto, basi awe ni mjane (mume alifariki dunia).

Mtu mwenye mawazo chanya, anayependa mashauriano ili changamoto zitatuliwe kwa njia bora.


Maelekezo ya Mawasiliano:
Atakayevutiwa na wasifu huu awashirikishe watu wa nyumbani kwake (walii/wake) ili tufanye mawasiliano kwa uwazi na staha.

Na anitumie wasifu wake pia kwa njia ya email.
natafutamke872@gmail.com
nenda kwenye marakiz zenu za Albany, Omar bin khattab, pongwe, msaud, kwa mkolemba kaongee na masheimh zako wakupatie mke unayefanana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom