Natafuta bajaji ya 1.5m mpaka 2m isiwe trip garage

Natafuta bajaji ya 1.5m mpaka 2m isiwe trip garage

Boss hivi ushawahi pata nafasi ukaenda kwenye minada ya serikali ya vyombo vilivyotelekezwa na wenye vyombo?
Nenda huko kwenye minada mkuu ila Kwa hapa Wala hauwezi kupata
 
Habari
“Matatizo unayatafuta mwenyewe kaka” nilipompa wazo hili jamaa yangu kuwa natafuta bajaji ya bei hiyo.. majibu yake yalikuwa hayo

Mwenye connection ya minada ya serikali ya bajaji na pikipiki zilizokamatwa na makosa mbali mbali kama na madawa na wenye vyombo wakavitelekeza kituoni.. naomba anisaidie connection hiyo natanguliza shukran

Au mwenye bajaji ya bei hiyo ya 1.5m mpaka 2m anisaidie kijana mwenzake, mdogo wake ,mwanae

Sijali kuhusu body, mashine iwe nzuri inafanya kazi vizuri, hata wiki ndio niende garage, ukweli ni zipo bajaji nzuri kwa bei hiyo

Isiwe ya mkopo mtu akaniuzia kwa kunikomoa wenye bajaji yao waje kuichukua

Isiwe ya wizi, nitahaibika mjini hapa sina mtaji mwingine zaidi ya hii pesa niliyonayo

Mtu anaweza akawa amechoka na bajaji akaamua tu kuuza ila inaweza isiwe na tatzo lolote nitashukuru, sijali kuhusu kilometa iwe tu inafanya kazi vizuri na isiwe trip kwa fundi

Nawapenda wana jf
Unautafuta ukichaa kwanguvu sana... haya bana
 
All the best 👍
Check shoulder.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Nenda njia ya Msakuzi kuna sehemu wanauza bajaji za zamani. Ukiwa unatoka Goba road mkono wa kushoto, ukiwa unatoka msakuzi mkono wa kulia. Check nao hao utapata uelekeo. Wameandia bango kuubwa linasomeka kwa nje hapo"Tunauza bajaji za zamani" Kevzy
 
Nenda njia ya Msakuzi kuna sehemu wanauza bajaji za zamani. Ukiwa unatoka Goba road mkono wa kushoto, ukiwa unatoka msakuzi mkono wa kulia. Check nao hao utapata uelekeo. Wameandia bango kuubwa linasomeka kwa nje hapo"Tunauza bajaji za zamani" Kevzy
Shukrani sana kwa muongozo Mkuu ubarikiwe sana
 
Boss hivi ushawahi pata nafasi ukaenda kwenye minada ya serikali ya vyombo vilivyotelekezwa na wenye vyombo?
Usiishi kwa kuvizia mkuu.
Ile minada siyo ya kukurupukia coz mara nyingi vyombo vilivyo ktk muonekano mzuri huwa wanapointiana wao kwa wao b4 mnada so siku ya mnada ni kama gelesha na kutimiza utaratibu.
Bila connection sahau kupata chombo iliyo nyooka kupitia minada ya polisi.

Nakushauri ujipange upya tu kudunduliza mtaji mpaka pale utakapo eneza hela iliyoshiba kidogo ikiwa hitaji lako ni kumiliki bajaj.
 
Usiishi kwa kuvizia mkuu.
Ile minada siyo ya kukurupukia coz mara nyingi vyombo vilivyo ktk muonekano mzuri huwa wanapointiana wao kwa wao b4 mnada so siku ya mnada ni kama gelesha na kutimiza utaratibu.
Bila connection sahau kupata chombo iliyo nyooka kupitia minada ya polisi.

Nakushauri ujipange upya tu kudunduliza mtaji mpaka pale utakapo eneza hela iliyoshiba kidogo ikiwa hitaji lako ni kumiliki bajaj.
Watu wanapata vyombo kwenye minada hiyo Mkuu, kama hauna connection endeleea kutafuta connection kama mimi Mkuu

Unaweza usiende kununua wewe streight, anayekupa connection labda ndio anayenunuaga kwenye hiyo minada kwa uaminifu, akakununulia wewe kupitia yeye

Sitaacha kupambana kutafuta bajaji ya 1.5 au 2m Mkuu na nitapata tu kwa uwezo wa Mungu
 
Ongeza milioni 2 zingene au moja na ushee utapata chuma nzima...milioni 2 Bado sana.

Kuna jamaa wanauza Bajaj ila kuanzia 3.5,4 nakuendelea unapata chombo safi.
 
Ongeza milioni 2 zingene au moja na ushee utapata chuma nzima...milioni 2 Bado sana.

Kuna jamaa wanauza Bajaj ila kuanzia 3.5,4 nakuendelea unapata chombo safi.
Shukrani Mkuu
Asante kwa muongozo huo sio sawa na mtu kunikatisha tamaa kabsa Mkuu

Shukrani
 
Shukrani Mkuu
Asante kwa muongozo huo sio sawa na mtu kunikatisha tamaa kabsa Mkuu

Shukrani
Umekuja hapa kuomba ushauri. Tunakupa ushauri usio na mawaa kulingana na bajeti yako finyu wewe unaona kama tunakukatisha tamaa!

Usiwe naive mkuu na kumbuka majuto ni mjukuu.
Sisi hatutakuwepo pale utakapoanza kuteswa na hilo "scrapt bajaj"
 
Habari
“Matatizo unayatafuta mwenyewe kaka” nilipompa wazo hili jamaa yangu kuwa natafuta bajaji ya bei hiyo.. majibu yake yalikuwa hayo

Mwenye connection ya minada ya serikali ya bajaji na pikipiki zilizokamatwa na makosa mbali mbali kama na madawa na wenye vyombo wakavitelekeza kituoni.. naomba anisaidie connection hiyo natanguliza shukran

Au mwenye bajaji ya bei hiyo ya 1.5m mpaka 2m anisaidie kijana mwenzake, mdogo wake ,mwanae

Sijali kuhusu body, mashine iwe nzuri inafanya kazi vizuri, hata wiki ndio niende garage, ukweli ni zipo bajaji nzuri kwa bei hiyo

Isiwe ya mkopo mtu akaniuzia kwa kunikomoa wenye bajaji yao waje kuichukua

Isiwe ya wizi, nitahaibika mjini hapa sina mtaji mwingine zaidi ya hii pesa niliyonayo

Mtu anaweza akawa amechoka na bajaji akaamua tu kuuza ila inaweza isiwe na tatzo lolote nitashukuru, sijali kuhusu kilometa iwe tu inafanya kazi vizuri na isiwe trip kwa fundi

Nawapenda wana jf
Goja nakutaftia Kesho nitakupa mrejesho
 
Umekuja hapa kuomba ushauri. Tunakupa ushauri usio na mawaa kulingana na bajeti yako finyu wewe unaona kama tunakukatisha tamaa!

Usiwe naive mkuu na kumbuka majuto ni mjukuu.
Sisi hatutakuwepo pale utakapoanza kuteswa na hilo "scrapt bajaj"
Mkuu mimi sikuomba ushahuri, soma vizuri kabla haujachangia mkuu

Mkuu kama vip? Acha wengine wasome na wanielewe na wanipe maelekezo niliyohitaji

Tafadhali Mkuu , mimi sijaomba ushahuri
 
Back
Top Bottom