Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Twambie basi usiishie kwenye ndoto zako pekee yako
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Acha utoto kijana nini kinazuia kuandika katiba mpaka yatukute?
 
Kuna watu ndio leo wamejua spika amejiuzulu huku mtaani no body cares, mitandaoni ndio hofu. Watanzania hawana muda na gutter politics
KWA hiyo gutter politics si ndo zmepelekea inflation na mstozo Lila mahali
Au wanadhani ugumu wa maisha ni haki yao
 
Kuna watu ndio leo wamejua spika amejiuzulu huku mtaani no body cares, mitandaoni ndio hofu. Watanzania hawana muda na gutter politics
Watanzania wa Leo mzee sio wa Redio Tanzania Dar er Salaam (RTD ) watanzania wa Leo ni Yahoo dot cm
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Mkuu, amka usingizini, unaweza kujikuta unakojoa kitandani
 
Yule mama hawezi kukemea Magufuli Alikuwa na sauti yenye mamlaka sio kubembelezana ooh acheni sio vizuri Rais lazma panapohitajika TOA sauti yenye mamlaka kwamba Hili silitaki, ndo maana jamaa alisema subirini watakao kuja kuwabembeleza sio mim, kweli duu mama anatupetipet kweli, shingoni,tumboni,kiunon daa mama anaupiga Msemo wa wapambe wake.
 
Yule mama hawezi kukemea Magufuli Alikuwa na sauti yenye mamlaka sio kubembelezana ooh acheni sio vizuri Rais lazma panapohitajika TOA sauti yenye mamlaka kwamba Hili silitaki, ndo maana jamaa alisema subirini watakao kuja kuwabembeleza sio mim, kweli duu mama anatupetipet kweli, shingoni,tumboni,kiunon daa mama anaupiga Msemo wa wapambe wake.
Lakini nchi iko vizuri na wengine sasa tunajiona watanzania maana yule bwana alikua mbaguzi wa hali ya juu sana. Aliona wengine siyo watanzania alizidisha ukabilaaaa
 
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
wala havihusiani acheni kudanganya watu bana. Mnaandika uzushi hapa.Ndugai nani? mbona alikimbia Ikulu kulialia
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Hakuna chochote kile,hiki kipaji ulichonacho ungekitumua kutabiri maisha yako na ukoo wako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Amen na namuomba Mungu awaumbue kwa aibu wale wote waliohusika na kifo Cha Magufuli wapigwe na majanga hapa hapa duniani.
 
Bwana Job/Ayubu si ukubali tuu kua hakuna marefu yasiyo na ncha? kwani kongwa hakuna mashamba ya kulima au? Hebu acha kudhani una sifa za kua kiongozi milele jinga wewe
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Ilikuwa Jan leo March... Wengi watapigwa butwaaaaa.... Yaani mmmmm
 
Back
Top Bottom